kijani kibichi
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 315
- 314
Ujibiwe Mara ngapi mkuu.Kwahio mtu ambae sio UKAWA ndio shetani?
Ujibiwe Mara ngapi mkuu.Kwahio mtu ambae sio UKAWA ndio shetani?
Hivi unapoandika huwa umevaa nguo?Mmmmmmmh
Kususa ni kuonyesha uoga mkubwa na mnazidi kujichimbia shimo la kudumbukia milele na kuua lichama bomu la familia.. nyie mmelosti haswaaa
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza na bila kuweka fitna au unafiki wowote , ninaomba kuchukua nafasi hii kuwatakia heri ya sikukuu hizi maarufu sana duniani wapenzi , washabiki na wanachama wote wa vyama vinavyounda UKAWA popote walipo duniani .
Sitaki kuchuma dhambi yoyote , na ndio maana sikutaka kuwahusisha wanaccm kwa vile siwapendi kuliko kitu chochote kinachoonekana ama kisichoonekana katika nchi hii , fitna kwangu mwiko .
Pia nachukua nafasi hii kuwapa pole wana UKAWA wenzangu kwa yote mliyopitia na mnayoendelea kupitia kwenye siasa za kishamba zinazofanywa na zinazoendelea kufanyika kwenye nchi yetu .
2018 - NEVER GIVE UP , mapambano ya kudai haki , demokrasia na utu wa Mtanzania yaendelee kwa kasi ya radi.
Mungu ibariki UKAWA .
Wana Ukawa wepi upande wa maalumu seif au LipumbaNami pia nakutakia sikukuu njema Wewe na wana ukawa wote.
ndio hivyo shindaneni na ng'ombe au mbuzi maana mashindano hamuyawezi.Mmmmmmmh
Kususa ni kuonyesha uoga mkubwa na mnazidi kujichimbia shimo la kudumbukia milele na kuua lichama bomu la familia.. nyie mmelosti haswaaa
Au wachuane na Kailima .ndio hivyo shindaneni na ng'ombe au mbuzi maana mashindano hamuyawezi.
Hivi huyo msaliti mnajua hata aliko ? Usaliti ni laana .Wana Ukawa wepi upande wa maalumu seif au Lipumba
Hivi wale makamanda wenu wenye kuvaa makoti mareeeeeefu na miwani kama majambazi wa bongo movie walipotelea wapi?Bila polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .
Siku ukiwaona itakuwa jioni sana .Hivi wale makamanda wenu wenye kuvaa makoti mareeeeeefu na miwani kama majambazi wa bongo movie walipotelea wapi?
Hivi unapoandika huwa umevaa nguo?
ndio hivyo shindaneni na ng'ombe au mbuzi maana mashindano hamuyawezi.
Huo muda wa kuwaandika na kuwatakia heri hao watu si bora ukalale tu MkuuNdio maana yake , hivi unawatakia heri watu kama Le Mutuz , Lizabon au Chabruma ili iweje ?