Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,660
- 218,148
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza na bila kuweka fitna au unafiki wowote , ninaomba kuchukua nafasi hii kuwatakia heri ya sikukuu hizi maarufu sana duniani wapenzi , washabiki na wanachama wote wa vyama vinavyounda UKAWA popote walipo duniani .
Sitaki kuchuma dhambi yoyote , na ndio maana sikutaka kuwahusisha wanaccm kwa vile siwapendi kuliko kitu chochote kinachoonekana ama kisichoonekana katika nchi hii , fitna kwangu mwiko .
Pia nachukua nafasi hii kuwapa pole wana UKAWA wenzangu kwa yote mliyopitia na mnayoendelea kupitia kwenye siasa za kishamba zinazofanywa na zinazoendelea kufanyika kwenye nchi yetu .
2018 - NEVER GIVE UP , mapambano ya kudai haki , demokrasia na utu wa Mtanzania yaendelee kwa kasi ya radi.
Mungu ibariki UKAWA .
Sitaki kuchuma dhambi yoyote , na ndio maana sikutaka kuwahusisha wanaccm kwa vile siwapendi kuliko kitu chochote kinachoonekana ama kisichoonekana katika nchi hii , fitna kwangu mwiko .
Pia nachukua nafasi hii kuwapa pole wana UKAWA wenzangu kwa yote mliyopitia na mnayoendelea kupitia kwenye siasa za kishamba zinazofanywa na zinazoendelea kufanyika kwenye nchi yetu .
2018 - NEVER GIVE UP , mapambano ya kudai haki , demokrasia na utu wa Mtanzania yaendelee kwa kasi ya radi.
Mungu ibariki UKAWA .