Nawasilisha Micro-finance Management System kwenu wadau

Nawasilisha Micro-finance Management System kwenu wadau

herman3

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2015
Posts
592
Reaction score
784
Habari, Nimetengeneza Micro-finance Management System, ambayo itafaa kutumika kwa vikundi vya akiba na mikopo , pia ni useful system kwa organization ambazo zinafundisha masuala ya Saving and Lending Groups kwa hiyo unaweza ukaijaribu hapa kwenye Computer yako Microfinance Management System USER NAME: user
PASSWORD: user123
na pia kwa account hiyo utaweza access features nyingi isipokuwa administration section

kwa hiyo naomba uingie uijaribu kisha unipe mrejesho wako wa nini kiboreshwe
 
User interface mbaya, nimeshindwa kulogin mengine baadae
 
User interface mbaya, nimeshindwa kulogin mengine baadae
 
User interface mbaya, nimeshindwa kulogin mengine baadae
 
BEI GANI STAND ALONE
Habari, Nimetengeneza Micro-finance Management System, ambayo itafaa kutumika kwa vikundi vya akiba na mikopo , pia ni useful system kwa organization ambazo zinafundisha masuala ya Saving and Lending Groups kwa hiyo unaweza ukaijaribu hapa kwenye Computer yako Microfinance Management System USER NAME: user
PASSWORD: user123
na pia kwa account hiyo utaweza access features nyingi isipokuwa administration section

kwa hiyo naomba uingie uijaribu kisha unipe mrejesho wako wa nini kiboreshwe
 
Habari, Nimetengeneza Micro-finance Management System, ambayo itafaa kutumika kwa vikundi vya akiba na mikopo , pia ni useful system kwa organization ambazo zinafundisha masuala ya Saving and Lending Groups kwa hiyo unaweza ukaijaribu hapa kwenye Computer yako Microfinance Management System USER NAME: user
PASSWORD: user123
na pia kwa account hiyo utaweza access features nyingi isipokuwa administration section

kwa hiyo naomba uingie uijaribu kisha unipe mrejesho wako wa nini kiboreshwe
mkuu umejitahidiii sanaaa kwanza nikupongezeee kwa kazii hiii mkuuu japoo kuna marekebishooo madogodogoo tuuu
kama client profile in generall and there is no need ya kitengenezaa employee but tengenezaa staff user ili waweze kulogin tembelea software inayitwa Mambu utaionaaa mkuuu
 
Umejitahidi. Improve kwenye user interface na pia zuia characters zisizotakiwa kwenye inputs. Mfano kama ni field ya namba iwe namba tu.
 
mkuu umejitahidiii sanaaa kwanza nikupongezeee kwa kazii hiii mkuuu japoo kuna marekebishooo madogodogoo tuuu
kama client profile in generall and there is no need ya kitengenezaa employee but tengenezaa staff user ili waweze kulogin tembelea software inayitwa Mambu utaionaaa mkuuu
Ahsante mkuu kwa mchango wako, naenda kuchange kutoka employee na kuwa staff user
 
Umejitahidi. Improve kwenye user interface na pia zuia characters zisizotakiwa kwenye inputs. Mfano kama ni field ya namba iwe namba tu.
Ahsante nimekupata mkuu naanza kufanyia kazi mrejesho wako pia
 
Nice work..............natumai kuona improvement walizo zieleza wadau, haswa user interface




BEST OF LUCK
 
inaonyeshaaa kuna software inaitwa T24 sijui ushawai kuitumiaaaa nafikiriaaa imefanana na hihi yakwakoo but yakoo ni morden zaidiii
 
Nice work..............natumai kuona improvement walizo zieleza wadau, haswa user interface




BEST OF LUCK
Ahsante sana, Nimeshaanza kufanyia kazi maoni ya wadau, na issue ya User Interface nitaifanya mwishoni kwa kuwa pia inabidi iwe mobile friendly.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom