Habari, Nimetengeneza Micro-finance Management System, ambayo itafaa kutumika kwa vikundi vya akiba na mikopo , pia ni useful system kwa organization ambazo zinafundisha masuala ya Saving and Lending Groups kwa hiyo unaweza ukaijaribu hapa kwenye Computer yako Microfinance Management System USER NAME: user
PASSWORD: user123
na pia kwa account hiyo utaweza access features nyingi isipokuwa administration section
kwa hiyo naomba uingie uijaribu kisha unipe mrejesho wako wa nini kiboreshwe
PASSWORD: user123
na pia kwa account hiyo utaweza access features nyingi isipokuwa administration section
kwa hiyo naomba uingie uijaribu kisha unipe mrejesho wako wa nini kiboreshwe