<br />Mkuu Mungu akusaidie na uweze kufanikiwa kaktika safari yako ya masomo <br />
Na maisha pia Mungu akutangulie
Likitokea jambo lolote lile ni lazima maisha yasonge mbele badala kuanza kujilaumu, nakupongeza kwa kupata chuo ongeza juhudina kumuomba Mungu kwenye masomo yako utafanikiwa tu.
<br />Na umeonyesha moyo sana hata kurudi kuja kutoa shukrani maana wengi huwa wanaishia huko huko hawakumbuki kama walipata ushauri hapa
<br /Likitokea jambo lolote lile ni lazima maisha yasonge mbele badala kuanza kujilaumu, nakupongeza kwa kupata chuo ongeza juhudina kumuomba Mungu kwenye masomo yako utafanikiwa tu.
<br />
Nisingeweza kufanya ksb hali niliyokuwa kipindi hicho matokea kilikuwa kibaya sana, lakin ushauri wana Jf ndiyo uliyoniondolea na kunifuta machozi na huzuni yangu moyoni. Sitawasahau ktk safari yangu ya elimu, na naahidi hata nitakapomaliza hiyo diploma yangu sitasahau kuleta matokea yangu hapa.
Kila ninaposafiri sijawahi wala sikumbuki kama nimewahi kusahau sehemu ya kivuli nilichopumzikia wakati wa safari yangu. Wana jf ni sehemu ya kivuli changu pasipo nyie safari isingefika hapa nilipo leo na hata nitakapokuwa siku zijazo. ASANTENI SANA.
<br />Hongera Nnunu,kujikwaa sio kuanguka,kwa kuwa umeona nuru baada ya giza totoro ifuate nuru hiyo ikupeleke katika mafanikio.Soma signature ya mdau wa MMU anayeitwa Mr. Rocky,mimi kwa kompyuta ni maimuna vinginevyo ningikopi na kuitumbukiza hapa.
<br />
Nisingeweza kufanya ksb hali niliyokuwa kipindi hicho matokea kilikuwa kibaya sana, lakin ushauri wana Jf ndiyo uliyoniondolea na kunifuta machozi na huzuni yangu moyoni. Sitawasahau ktk safari yangu ya elimu, na naahidi hata nitakapomaliza hiyo diploma yangu sitasahau kuleta matokea yangu hapa.
Kila ninaposafiri sijawahi wala sikumbuki kama nimewahi kusahau sehemu ya kivuli nilichopumzikia wakati wa safari yangu. Wana jf ni sehemu ya kivuli changu pasipo nyie safari isingefika hapa nilipo leo na hata nitakapokuwa siku zijazo. ASANTENI SANA.
Ubarikiwe na Mungu akutangulie kwenye kila jambo<br /
ASANTE SANA ,na WEPESI WA TATIZO UONEKANA PINDI UNAPOPATA WATU WA KUKUPA MOYO WA KUSONGA MBELE.
NAAHIDI KUSOMA KWA BIDII SANA, ILI NIWEZE KUTIMIZA NDOTO ZANGU.
<br /><span style="font-family: Verdana"><font color="red"><b><i><font size="2">Problems are simply part of the curriculum that appear and fade away like algebra class but the lessons you learn will last a lifetime.</font></i></b><br />
<br />
<br />
Signature yangu hiyo hapo mkuu isome </font></span>
<br />
<br />
Nakuunga mkono % zote, Nimeisoma, asante kwa kunirahisishia kuipata.
<br />Hongera mpenzi, safari ndo imeanza tena. Jitahidi usiwe mzembe ili ufanikishe malengo yako. Mwenyezi Mungu akutangulie!