Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
- Thread starter
- #141
Msando kuwa mkweli kwanini napokutajia namalok sokoine umuongeze hautaki , au umeshapiga mahesabu kesi uliyoivungua kupinga matokeo ya moshi vijijini una nafasi kubwa ya kushinda sasa unataka kiwelu arudi moshi vijijini ili uchaguzi ukirudiwa ujihakikishie ushindi kwa sababu uchaguzi uliopita ulibwagwa kwa kura moja:A S 13:
Carefree,
Umenimind bure kamanda. Sijakataa kumuongeza Namalok. Kabla sijakujibu nilikuwa namtafuta Mbunge wa Arusha ili niconfirm kuhusu Namalok kwani sijasikia wakimlalamikia mpaka ulipsema wewe. Kama umeona nilikugongea ka thanks muda fulani niliposoma post yako.
Kuhusu Mohi vijijini unajua kabisa walichofanya ila tutaona mwisho wake.