Njia sahihi ya kuachana na wazungu ni kujibidiisha kuuweka uchumi was watu wako juu,kuwa kiongozi Bora wa raia wako,Linda Uhuru na ustawi wa watu na taifa lako,msichukulie ushoga Kama ndio ajenda kuu,yanyofanyika Yana madhara zaidi hata ya ushoga! Hali ikiwa ngumu ushoga hauna pa kutokea nk.
Ni nature ya binadamu ukimfinya Sana au ukimkandamiza sana lazima atatafuta pa kulilia na msaada wa watu kwani nchi yetu haiishi kwenye kisiwa kwamba haina uhusiano na nchi nyingine so tukipiga kelele kulingana na uovu lazima Luna watu watakusikia hata nje ya mipaka yako ndio hwa akina EU nk! Alafu na wao si kwamba wanapiga Tu kelele,hapana ni Kwa kuwa mliingia nao mikataba na mkaridhia terms zao,sasa leo mmekiuka mnaanza kuwalaum tena.
Nasisitiza tena njia pekee ya kuepuka hira za wazungu ni tends wema Kwa raia wako,heshimu haki za raia wako,fuata Yale mliokubaliana na asasi zingine za kimataifa