Nawashangaa sana wanaofurahia ya EU

Nawashangaa sana wanaofurahia ya EU

Hakuna binadamu ambaye namdharau kama yule ambaye anakwenda kwa jirani kutafuta suluhisho la nyumbani kwake
Hakika binadamu kama huyo ni mlaaniwa na ata zika watoto wake na mkewe ata lala na ndugu zake wote pamoja na jirani
Na mkewe atakuwa mjane katika umri mdogo
Hawa watu ni walaaniwa na makafara wa nchi
Wafe ili nchi iendelee
Hiyo ndio siri kubwa
Mwenye hekima na busara pamoja na baraka kutoka kwa Mwenyezi Mungu atanielewa maneno ya kinywa changu!
Amina amina amina na amina

Mkuu hata wao hawaelewi wanachokifanya, tujaribu
-kuwaelimisha

-kuwaonya

-kuwarekebisha

-kuwaelekeza cha kufanya na kutokufanya

Kumbuka tuna deal na watu wa aina gani, ni nyumbu hizi mkuu.
 
Kwanza niwaambie tu kama raia lazima ulinde uhuru wa nchi yako. Kuruhusu hawa wazungu waingilie mambo ya ndani ya hawana cha kupoteza kwa lolote. Pale Libya kwa mfano walipofanikiwa kuwaingia raia baada ya kushidwa kulinda uhuru wao hadi sasa mnajua yaliyopo la sivyo tunataka kuugawa uhuru wetu.

Hii kitu inayoendelea haiwezi fanywa na wazungu iwapo kila mtanzania ataamua kulinda uhuru wa nchi.

Kuna wanasiasa ukiwaangalia kabisa hawafai hata kuingia mlango wa ikulu ama wa bungeni maana wanainajisi nchi yetu na wanashindwa kulinda uhuru wa nchi yetu kwa sasabu za njaa zao.

Baada ya kupata uhuru mwaka 1961 sasa ni zamu ya kujenga nchi. Kila mmoja anajua jinsi sasa hivi nchi yetu inajitahidi kujenga miundo mbinu ya uchumi hapa hakuna wa kupinga maana kazi inapigwa kweli kweli. Cha mshingi tujenge nchi.

Pili baada ya uchaguzi wa 2015 ifahamike kwamba ccm iligawanyika sana - Timu Lowasa na Timu Membe zilimtesa sana JK na baada ya JPM kuingia madalakani kila mmoja alijua hataiweza ccm. Ni kweli kwamba JPM amejitahi sana kwa kiasi cha kukimudu kiti cha uenyekiti ambapo JK alikuwa anapotezea bila kuchukua hatua. Sasa hivi ccm bado inapitia kwenye kipindi cha 2015 - Timu Membe na Timu Lowasa bado zinatamani zipate urais eiza kupitia wenyewe moja kwa moja ama zitumie mwamvuli wa majina ya hao wawili.

Pamoja na mapungufu ya aliyo nayo JPM lakini anatimiza yale aliyotuahidi wapiga kura wake mwaka 2015 -- Mlioshindwa subirini 2020 mje muuze sera zenu tumuache Rais atufanyie kazi. Pigeni kelele bungeni.

Naamini JPM atamilizana na Wazungu na ataendeleea naujenzi wa nchi bila kuyumbishwa.

Mungu ibariki TZ.
Acha unafiki, kwani wakoloni hawakujenga/kuleta maendeleo! Kwann tuliwafurumusha?
 
Nakubaliana na HOJA zako kabisa tena sana Mfano kama ulivyoziorodhesha
1. Udikiteta upo? JIBU Upo inategemea na vile una udefine hakuna nchi isiyo kuwa na uditeta hata moja duniani
2.Sheria Kandamizi. Jibu ZIPO kwa mitandao ,takwimu .. Hii ikiachwa kila mmoja kusema au kufanya au kutoa taarifa Basi tutakuwa na taarifa nyingi inatokana na anayetuambia anataka nini
3. UTEKWAJI. upo na haujaanza leo ktk nchi zote sometime lazima wengine tuwe silenced kwa njia yoyote. Hii tangu kipindi cha Mchonga Meno watu walikuwa detained hata kupotezwa. Je Ntuntemeke Sanga stori yake ikoje? Kolimba. Lengo la Security service duniani ni ku operate secretly na ku silence si KGB MOSAAD M16 CIA au TISS
MAKONDA na Ushoga ni Kweli ALIWATISHIA. Lkn ni nani kati yetu anayetamani dada yake asagane au aletewwe posa ya kuolewa kijana wake wa kiume? Utamaduni wetu hatukubali kwa hiyo njaa si sababu ya kuburuzwa.
Ubambikwaji Kesi kwa viongozi WETU wa Upinzani. Inaweza iwe KWELI kabisa. Lkn nani asiyejua kuwa Bro Lisu ni miongoni mwa watu walioshtakiwa mara nyingi zaidi lkn zooote ALIWABWAGA . Hii tunaweza kulilalamikia kwa kuwafanya wasifanye majukumu yao na kuwafanya wawe watu wa kufika polisi na mahakamani tu. Hatuliungi mkono.
Ukandamiza vyama isipokuea ccm . Linaweza kuwa la KINADHALIA au KUFIKIRIKA.
Vyama hivi tunavyo mtaani mfano wakati wa kampeni unapotokea uchaguzi aidha kujaza nafasi wanakuja wengine staili bora kuliko zote ya nyumba kwa nyumba sinaona Wamekamatwa. Ikumbukwe kuwa pasipo Ruzuku vyama vingi havina uwezo kushindana na ccm yenye asset na mali hivyo wimbi la bana matumizi ikiwemo ruzuku inaviathiri tu hivyo vinaweza kushawishika kupewa pesa na wafadhili nje wakiwa na lengo lao
Nadhani kama serkali imewabana waje mtaani door to door tena low cost hiyo ccm inakuja kushtuka haina mizizi huku chini
Asante nawasilisha pasipo itikadi au mlengo wa chama chochote
Nakataaa KUPANGIWA na EU au aweye yote foreigner

Well said.
 
Tunawaunga mkono kwa 100% hao EU na USA na bado tunawaomba mataifa mengine waongeze mbinyo
Kwanza niwaambie tu kama raia lazima ulinde uhuru wa nchi yako. Kuruhusu hawa wazungu waingilie mambo ya ndani ya hawana cha kupoteza kwa lolote. Pale Libya kwa mfano walipofanikiwa kuwaingia raia baada ya kushidwa kulinda uhuru wao hadi sasa mnajua yaliyopo la sivyo tunataka kuugawa uhuru wetu.

Hii kitu inayoendelea haiwezi fanywa na wazungu iwapo kila mtanzania ataamua kulinda uhuru wa nchi.

Kuna wanasiasa ukiwaangalia kabisa hawafai hata kuingia mlango wa ikulu ama wa bungeni maana wanainajisi nchi yetu na wanashindwa kulinda uhuru wa nchi yetu kwa sasabu za njaa zao.

Baada ya kupata uhuru mwaka 1961 sasa ni zamu ya kujenga nchi. Kila mmoja anajua jinsi sasa hivi nchi yetu inajitahidi kujenga miundo mbinu ya uchumi hapa hakuna wa kupinga maana kazi inapigwa kweli kweli. Cha mshingi tujenge nchi.

Pili baada ya uchaguzi wa 2015 ifahamike kwamba ccm iligawanyika sana - Timu Lowasa na Timu Membe zilimtesa sana JK na baada ya JPM kuingia madalakani kila mmoja alijua hataiweza ccm. Ni kweli kwamba JPM amejitahi sana kwa kiasi cha kukimudu kiti cha uenyekiti ambapo JK alikuwa anapotezea bila kuchukua hatua. Sasa hivi ccm bado inapitia kwenye kipindi cha 2015 - Timu Membe na Timu Lowasa bado zinatamani zipate urais eiza kupitia wenyewe moja kwa moja ama zitumie mwamvuli wa majina ya hao wawili.

Pamoja na mapungufu ya aliyo nayo JPM lakini anatimiza yale aliyotuahidi wapiga kura wake mwaka 2015 -- Mlioshindwa subirini 2020 mje muuze sera zenu tumuache Rais atufanyie kazi. Pigeni kelele bungeni.

Naamini JPM atamilizana na Wazungu na ataendeleea naujenzi wa nchi bila kuyumbishwa.

Mungu ibariki TZ.
 
Hajitambui huyo bwege
Umezungumzia watu badala ya matatizo yanayodaiwa na EU pamoja US !! eg Team Membe, Team Lowassa, Maghufuli nk, badala kujadili hoja zilizoletwa mezani na hao jamaa !!!!

1. Je u dictator upo au haupo. Na unauelewa ?!
2. Je sheria kandamizi za mitandao, takwimu , vyama, nk zipo ?!
3. Ni kweli watu wanatekwa na kupotezwa ?!
4. Je Makonda aliwatishia amani mashoga na wasagaji ?!
5. Je viongozi wa upinzani wanabambikiwa kesi ?!. eg kuuawa kwa Akwilina.
6. Je vyama tofauti na CCM vinakandamizwa kufanya siasa ?!

Unapiwalaani wanaounga mkono hao mnaowaita ma beberu. Tafakari kama serikali nayo iko fair kwa watu wa kada zote. Kama wana mipango inayokandamiza wengine kwa maslahi yao ya kisiasa then hauko sawa. Tuwe na utaratibu ulio sawa kwa wote .
 
Hayo hayaoni maana ameahatiwa upofu na mate yenye sumu kutoka kwa CHAKUBANGA
Hata sisi tunakushangaa wewe usiyejua hatari tuliyonayo. Chief Whip wa upinzani kupigwa risasi nje ya nyumba za bunge, miili ya watu kuokotwa Coco Beach, watu kupotea, kubanwa uhuru wa kujieleza, kiongozi mkuu wa upinzani kuwekwa ndani.
 
Huenda hujielewi au unajielewa isipokuwa tu unafaidika moja kwa moja na utawala huu wa kidikteta.

Unakera sana mkuu.
 
Nchi hii ikiwekewa vikwazo na mataifa yaliyoendelea naona kabisa kuna watanzania watasema HOYEEEEE kwa kushangilia
 
Kwanza niwaambie tu kama raia lazima ulinde uhuru wa nchi yako. Kuruhusu hawa wazungu waingilie mambo ya ndani ya hawana cha kupoteza kwa lolote. Pale Libya kwa mfano walipofanikiwa kuwaingia raia baada ya kushidwa kulinda uhuru wao hadi sasa mnajua yaliyopo la sivyo tunataka kuugawa uhuru wetu.

Hii kitu inayoendelea haiwezi fanywa na wazungu iwapo kila mtanzania ataamua kulinda uhuru wa nchi.

Kuna wanasiasa ukiwaangalia kabisa hawafai hata kuingia mlango wa ikulu ama wa bungeni maana wanainajisi nchi yetu na wanashindwa kulinda uhuru wa nchi yetu kwa sasabu za njaa zao.

Baada ya kupata uhuru mwaka 1961 sasa ni zamu ya kujenga nchi. Kila mmoja anajua jinsi sasa hivi nchi yetu inajitahidi kujenga miundo mbinu ya uchumi hapa hakuna wa kupinga maana kazi inapigwa kweli kweli. Cha mshingi tujenge nchi.

Pili baada ya uchaguzi wa 2015 ifahamike kwamba ccm iligawanyika sana - Timu Lowasa na Timu Membe zilimtesa sana JK na baada ya JPM kuingia madalakani kila mmoja alijua hataiweza ccm. Ni kweli kwamba JPM amejitahi sana kwa kiasi cha kukimudu kiti cha uenyekiti ambapo JK alikuwa anapotezea bila kuchukua hatua. Sasa hivi ccm bado inapitia kwenye kipindi cha 2015 - Timu Membe na Timu Lowasa bado zinatamani zipate urais eiza kupitia wenyewe moja kwa moja ama zitumie mwamvuli wa majina ya hao wawili.

Pamoja na mapungufu ya aliyo nayo JPM lakini anatimiza yale aliyotuahidi wapiga kura wake mwaka 2015 -- Mlioshindwa subirini 2020 mje muuze sera zenu tumuache Rais atufanyie kazi. Pigeni kelele bungeni.

Naamini JPM atamilizana na Wazungu na ataendeleea naujenzi wa nchi bila kuyumbishwa.

Mungu ibariki TZ.
Niulinde uhuru wa nchi yangu?? Tanzania ipo chini ya mkoloni mweusi. Watanzania hawapo huru tena

Ningekuona wa maana kama ungeleta hoja zilizotolewa na EU na kuchambua moja baada ya nyingine.

Eti unasema JPM anatekeleza yale aliyowaahidi watanzania. Yaap??

Hiyo ilani ya CCM aliyokuwa anainadi haifuati na anaikana sasa ivi.

Kwenye ilani Mliahidi kusomesha wanafunzi wa kike waliopata ujauzito, leo mnaikana.
Mliwaahidi watanzania katiba mpya kwenye ilani yenu, leo mnasema sio kipaumbele chenu.

Ni wakati muafaka sasa wagombea wote wa urais kupiwa ugonjwa wa akili kabla hawajaingia kwenye kinyang'anyiro.

Huwezi kunishawishi kutetea kiongozi anaevunja misingi ya kidekrasia na haki za binadamu pamoja na katiba aliyoapa kuilinda eti kwa kisingizio cha uzalendo.
PATRIOTISM IS TO STAND WITH THE COUNTRY ,NOT WITH THE PRESIDENT.
AND I CHOSE TO STAND WITH THE COUNTRY.

Hoja za zote EU zina mantiki zifanyiwe kazi. RAIS HAWEZI KUSHINDANA NA WAZUNGU wenzetu wameshikilia mpini. Ile ni EU sio CHADEMA wale🤣

Umeona wapi masikini akamtukana tajiri na akapewa msaada?. Na bado!
 
Kwanza niwaambie tu kama raia lazima ulinde uhuru wa nchi yako. Kuruhusu hawa wazungu waingilie mambo ya ndani ya hawana cha kupoteza kwa lolote. Pale Libya kwa mfano walipofanikiwa kuwaingia raia baada ya kushidwa kulinda uhuru wao hadi sasa mnajua yaliyopo la sivyo tunataka kuugawa uhuru wetu.

Hii kitu inayoendelea haiwezi fanywa na wazungu iwapo kila mtanzania ataamua kulinda uhuru wa nchi.

Kuna wanasiasa ukiwaangalia kabisa hawafai hata kuingia mlango wa ikulu ama wa bungeni maana wanainajisi nchi yetu na wanashindwa kulinda uhuru wa nchi yetu kwa sasabu za njaa zao.

Baada ya kupata uhuru mwaka 1961 sasa ni zamu ya kujenga nchi. Kila mmoja anajua jinsi sasa hivi nchi yetu inajitahidi kujenga miundo mbinu ya uchumi hapa hakuna wa kupinga maana kazi inapigwa kweli kweli. Cha mshingi tujenge nchi.

Pili baada ya uchaguzi wa 2015 ifahamike kwamba ccm iligawanyika sana - Timu Lowasa na Timu Membe zilimtesa sana JK na baada ya JPM kuingia madalakani kila mmoja alijua hataiweza ccm. Ni kweli kwamba JPM amejitahi sana kwa kiasi cha kukimudu kiti cha uenyekiti ambapo JK alikuwa anapotezea bila kuchukua hatua. Sasa hivi ccm bado inapitia kwenye kipindi cha 2015 - Timu Membe na Timu Lowasa bado zinatamani zipate urais eiza kupitia wenyewe moja kwa moja ama zitumie mwamvuli wa majina ya hao wawili.

Pamoja na mapungufu ya aliyo nayo JPM lakini anatimiza yale aliyotuahidi wapiga kura wake mwaka 2015 -- Mlioshindwa subirini 2020 mje muuze sera zenu tumuache Rais atufanyie kazi. Pigeni kelele bungeni.

Naamini JPM atamilizana na Wazungu na ataendeleea naujenzi wa nchi bila kuyumbishwa.

Mungu ibariki TZ.
This time mmepatikana kweli we jibu hoja za EU na US acha porojo
 
Kuna sababu nyingine wala huhitaji nguvu kusema.

Swala la msingi ni je ? Hayo madai yako unahitaji yakamilike yote? Unahisi ni nchi gani ziko huru kama unavyo unavyo zani? Kuna mtu kasingiziwa kesi bila kuambiwa alichokosea? Hakuna sehemu iliyo kamili kama unavyotaka ndugu. Cha msingi tujenge nchi yetu wenyewe . JPM atapita nawe utapewa madaraka uongoze kama unayataka.
Serikali kuhusishwa na shambulio la Mh.Tindu Lissu una ufafanuzi wowote?tusiwe vigeugeu na malimbukeni wa kusaka tonge tu.....Rais Magufuli na vibaraka wake akina Paul Makonda wanaipoteza Tanzania katika ramani ya dunia kwa mambo yao ya chuki binafsi,uchu wa madaraka,wivu,upendeleo,,unafiki,udikteta,wizi,rushwa,nk.Tuanzia hapo kwanza.
 
Kwanza niwaambie tu kama raia lazima ulinde uhuru wa nchi yako. Kuruhusu hawa wazungu waingilie mambo ya ndani ya hawana cha kupoteza kwa lolote. Pale Libya kwa mfano walipofanikiwa kuwaingia raia baada ya kushidwa kulinda uhuru wao hadi sasa mnajua yaliyopo la sivyo tunataka kuugawa uhuru wetu.

Hii kitu inayoendelea haiwezi fanywa na wazungu iwapo kila mtanzania ataamua kulinda uhuru wa nchi.

Kuna wanasiasa ukiwaangalia kabisa hawafai hata kuingia mlango wa ikulu ama wa bungeni maana wanainajisi nchi yetu na wanashindwa kulinda uhuru wa nchi yetu kwa sasabu za njaa zao.

Baada ya kupata uhuru mwaka 1961 sasa ni zamu ya kujenga nchi. Kila mmoja anajua jinsi sasa hivi nchi yetu inajitahidi kujenga miundo mbinu ya uchumi hapa hakuna wa kupinga maana kazi inapigwa kweli kweli. Cha mshingi tujenge nchi.

Pili baada ya uchaguzi wa 2015 ifahamike kwamba ccm iligawanyika sana - Timu Lowasa na Timu Membe zilimtesa sana JK na baada ya JPM kuingia madalakani kila mmoja alijua hataiweza ccm. Ni kweli kwamba JPM amejitahi sana kwa kiasi cha kukimudu kiti cha uenyekiti ambapo JK alikuwa anapotezea bila kuchukua hatua. Sasa hivi ccm bado inapitia kwenye kipindi cha 2015 - Timu Membe na Timu Lowasa bado zinatamani zipate urais eiza kupitia wenyewe moja kwa moja ama zitumie mwamvuli wa majina ya hao wawili.

Pamoja na mapungufu ya aliyo nayo JPM lakini anatimiza yale aliyotuahidi wapiga kura wake mwaka 2015 -- Mlioshindwa subirini 2020 mje muuze sera zenu tumuache Rais atufanyie kazi. Pigeni kelele bungeni.

Naamini JPM atamilizana na Wazungu na ataendeleea naujenzi wa nchi bila kuyumbishwa.

Mungu ibariki TZ.
Huna lolote majungu tu unazungumzia watu badala ya issues
 
Kuna sababu nyingine wala huhitaji nguvu kusema.

Swala la msingi ni je ? Hayo madai yako unahitaji yakamilike yote? Unahisi ni nchi gani ziko huru kama unavyo unavyo zani? Kuna mtu kasingiziwa kesi bila kuambiwa alichokosea? Hakuna sehemu iliyo kamili kama unavyotaka ndugu. Cha msingi tujenge nchi yetu wenyewe . JPM atapita nawe utapewa madaraka uongoze kama unayataka.
Kama Una taka kujenga nchi yako mwenyewe misaada unataka ya nini?
 
Hayo yote tuliyaomba sana wakati wa JK tukapata mtu tukamwambia hatutaki achekecheke. Mengine ni ya kujitakia mfano Mbowe kaitwa mahakamani kaanza kulandalanda mara south mara ubeligiji wakati anajua anatakiwa mahakamani.

JF Member,
Tuondolee hoja zako mfu hapa!
Andiko lako linasikitisha kama siyo kushangaza!Sanasana kinachoonekana hapa
wewe unatumika tu kama 'TT' Toilet Tissue ambayo hutumika chooni mtu anapoenda kujisaidia hajakubwa na baada ya kujisaidia haitaki tena!

EU na US ni watu wanaochangia sana katika UCHUMI wa nji hii katika nyanja mbalimbali.Kama EU na US wanatupatia misaada ili isaidie maendeleo ya Watz Kisiasa,Kielimu na Kiuchumi tunalalamka nn?

Kama MTU anakupa misaada lakini we ukaanza kutumia ile misaada kunyanyasa,kutesa,kuua,kusweka ndani na kuwashtaki WAPINZANI peke YAO huku CCM wakifanya yaleyale LAZIMA AHOJI na ana HAKI ZOTE za kuhoji!
Tatizo la Sijonze wenu ni kuwa anafikiri Tanzania ni Kisiwa,haina uhusiano na nchi au Taasisi yoyote Duniani! Huu ni wendawazimu wa kiwango cha lami! Huwezi kutaka misaada ya watu lakini wakihoji unavoitumia misaada yao unakuwa Mbogo....!!!!
 
JPM mpaka 2025 na akimaliza tunampigia magoti aendelee.
 
Mara hii Jiwe kashikwa koroda..... Hawezi kufurukuta. Ametolewa nje ya mstari. Hakuna kiongozi yeyote ambaye ni DHALIMU atapendwa na raia anaowaongoza. Jiwe kajaa VISASI, acha wazungu wamwadabishe.
Ameshikwa kende
 
Kwanza niwaambie tu kama raia lazima ulinde uhuru wa nchi yako. Kuruhusu hawa wazungu waingilie mambo ya ndani ya hawana cha kupoteza kwa lolote. Pale Libya kwa mfano walipofanikiwa kuwaingia raia baada ya kushidwa kulinda uhuru wao hadi sasa mnajua yaliyopo la sivyo tunataka kuugawa uhuru wetu.

Hii kitu inayoendelea haiwezi fanywa na wazungu iwapo kila mtanzania ataamua kulinda uhuru wa nchi.

Kuna wanasiasa ukiwaangalia kabisa hawafai hata kuingia mlango wa ikulu ama wa bungeni maana wanainajisi nchi yetu na wanashindwa kulinda uhuru wa nchi yetu kwa sasabu za njaa zao.

Baada ya kupata uhuru mwaka 1961 sasa ni zamu ya kujenga nchi. Kila mmoja anajua jinsi sasa hivi nchi yetu inajitahidi kujenga miundo mbinu ya uchumi hapa hakuna wa kupinga maana kazi inapigwa kweli kweli. Cha mshingi tujenge nchi.

Pili baada ya uchaguzi wa 2015 ifahamike kwamba ccm iligawanyika sana - Timu Lowasa na Timu Membe zilimtesa sana JK na baada ya JPM kuingia madalakani kila mmoja alijua hataiweza ccm. Ni kweli kwamba JPM amejitahi sana kwa kiasi cha kukimudu kiti cha uenyekiti ambapo JK alikuwa anapotezea bila kuchukua hatua. Sasa hivi ccm bado inapitia kwenye kipindi cha 2015 - Timu Membe na Timu Lowasa bado zinatamani zipate urais eiza kupitia wenyewe moja kwa moja ama zitumie mwamvuli wa majina ya hao wawili.

Pamoja na mapungufu ya aliyo nayo JPM lakini anatimiza yale aliyotuahidi wapiga kura wake mwaka 2015 -- Mlioshindwa subirini 2020 mje muuze sera zenu tumuache Rais atufanyie kazi. Pigeni kelele bungeni.

Naamini JPM atamilizana na Wazungu na ataendeleea naujenzi wa nchi bila kuyumbishwa.

Mungu ibariki TZ.
Hao wanaosherehekea wasikupe pressure kabisa kwani wanajisahau kuwa wamo kwenye jahazi ambalo liko majini. kusherehekea ni sawa ni kutoboa matundu kwenye jahazi wakidhani kuwa jahazi likizama wao watakuwa salama.
CHOMBO KIMEPATA DEREVA HODARI WACHA KIENDE KASI
 
Kwanza niwaambie tu kama raia lazima ulinde uhuru wa nchi yako. Kuruhusu hawa wazungu waingilie mambo ya ndani ya hawana cha kupoteza kwa lolote. Pale Libya kwa mfano walipofanikiwa kuwaingia raia baada ya kushidwa kulinda uhuru wao hadi sasa mnajua yaliyopo la sivyo tunataka kuugawa uhuru wetu.

Hii kitu inayoendelea haiwezi fanywa na wazungu iwapo kila mtanzania ataamua kulinda uhuru wa nchi.

Kuna wanasiasa ukiwaangalia kabisa hawafai hata kuingia mlango wa ikulu ama wa bungeni maana wanainajisi nchi yetu na wanashindwa kulinda uhuru wa nchi yetu kwa sasabu za njaa zao.

Baada ya kupata uhuru mwaka 1961 sasa ni zamu ya kujenga nchi. Kila mmoja anajua jinsi sasa hivi nchi yetu inajitahidi kujenga miundo mbinu ya uchumi hapa hakuna wa kupinga maana kazi inapigwa kweli kweli. Cha mshingi tujenge nchi.

Pili baada ya uchaguzi wa 2015 ifahamike kwamba ccm iligawanyika sana - Timu Lowasa na Timu Membe zilimtesa sana JK na baada ya JPM kuingia madalakani kila mmoja alijua hataiweza ccm. Ni kweli kwamba JPM amejitahi sana kwa kiasi cha kukimudu kiti cha uenyekiti ambapo JK alikuwa anapotezea bila kuchukua hatua. Sasa hivi ccm bado inapitia kwenye kipindi cha 2015 - Timu Membe na Timu Lowasa bado zinatamani zipate urais eiza kupitia wenyewe moja kwa moja ama zitumie mwamvuli wa majina ya hao wawili.

Pamoja na mapungufu ya aliyo nayo JPM lakini anatimiza yale aliyotuahidi wapiga kura wake mwaka 2015 -- Mlioshindwa subirini 2020 mje muuze sera zenu tumuache Rais atufanyie kazi. Pigeni kelele bungeni.

Naamini JPM atamilizana na Wazungu na ataendeleea naujenzi wa nchi bila kuyumbishwa.

Mungu ibariki TZ.
PALE MJINGA ANAPOWASHANGAA WEREVU.
Methali hii inajibeba kukuumbua.
"adui wa adui yako ni rafiki yako"
Magufail ni adui wa wananchi waliomnyima kura.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom