Nawashangaa sana wanaofurahia ya EU

Nawashangaa sana wanaofurahia ya EU

Kwanza niwaambie tu kama raia lazima ulinde uhuru wa nchi yako. Kuruhusu hawa wazungu waingilie mambo ya ndani ya hawana cha kupoteza kwa lolote. Pale Libya kwa mfano walipofanikiwa kuwaingia raia baada ya kushidwa kulinda uhuru wao hadi sasa mnajua yaliyopo la sivyo tunataka kuugawa uhuru wetu.

Hii kitu inayoendelea haiwezi fanywa na wazungu iwapo kila mtanzania ataamua kulinda uhuru wa nchi.

Kuna wanasiasa ukiwaangalia kabisa hawafai hata kuingia mlango wa ikulu ama wa bungeni maana wanainajisi nchi yetu na wanashindwa kulinda uhuru wa nchi yetu kwa sasabu za njaa zao.

Baada ya kupata uhuru mwaka 1961 sasa ni zamu ya kujenga nchi. Kila mmoja anajua jinsi sasa hivi nchi yetu inajitahidi kujenga miundo mbinu ya uchumi hapa hakuna wa kupinga maana kazi inapigwa kweli kweli. Cha mshingi tujenge nchi.

Pili baada ya uchaguzi wa 2015 ifahamike kwamba ccm iligawanyika sana - Timu Lowasa na Timu Membe zilimtesa sana JK na baada ya JPM kuingia madalakani kila mmoja alijua hataiweza ccm. Ni kweli kwamba JPM amejitahi sana kwa kiasi cha kukimudu kiti cha uenyekiti ambapo JK alikuwa anapotezea bila kuchukua hatua. Sasa hivi ccm bado inapitia kwenye kipindi cha 2015 - Timu Membe na Timu Lowasa bado zinatamani zipate urais eiza kupitia wenyewe moja kwa moja ama zitumie mwamvuli wa majina ya hao wawili.

Pamoja na mapungufu ya aliyo nayo JPM lakini anatimiza yale aliyotuahidi wapiga kura wake mwaka 2015 -- Mlioshindwa subirini 2020 mje muuze sera zenu tumuache Rais atufanyie kazi. Pigeni kelele bungeni.

Naamini JPM atamilizana na Wazungu na ataendeleea naujenzi wa nchi bila kuyumbishwa.

Mungu ibariki TZ.
Mkuu kumbuka hawa jamaa ni nyumbu, usiwe na wasiwasi

Litaanzishwa tukio lingine na hili watalisahau.
 
Ni kweli inasikitisha. Lakini ukiona mtoto anashadadia baba yake kupigwa kabali na mtu ujue ama baba au mtoto ana matatizo. Kwa hiyo ni vizuri kuchunguza kwanza kabla ya kukimbilia kulaumu upande mmoja.
 
Kuna sababu nyingine wala huhitaji nguvu kusema.

Swala la msingi ni je ? Hayo madai yako unahitaji yakamilike yote? Unahisi ni nchi gani ziko huru kama unavyo unavyo zani? Kuna mtu kasingiziwa kesi bila kuambiwa alichokosea? Hakuna sehemu iliyo kamili kama unavyotaka ndugu. Cha msingi tujenge nchi yetu wenyewe . JPM atapita nawe utapewa madaraka uongoze kama unayataka.
Mimi binafsi naunga mkono juhudi za EU na USA sio lazma tufanane

Shida zako na uzalendo mpelekee mumeo
 
Kuna sababu nyingine wala huhitaji nguvu kusema.

Swala la msingi ni je ? Hayo madai yako unahitaji yakamilike yote? Unahisi ni nchi gani ziko huru kama unavyo unavyo zani? Kuna mtu kasingiziwa kesi bila kuambiwa alichokosea? Hakuna sehemu iliyo kamili kama unavyotaka ndugu. Cha msingi tujenge nchi yetu wenyewe . JPM atapita nawe utapewa madaraka uongoze kama unayataka.
Kwani kipindi cha awamu iliopita kulikua na matamko na maresolution toka EU na USA? Kwani kipindi cha nyuma mambo yalikua kama yalivyosasa hivi? Kwamba yeye ni special sana ndo mana haya yanatokea hivi?
 
Mara hii Jiwe kashikwa koroda..... Hawezi kufurukuta. Ametolewa nje ya mstari. Hakuna kiongozi yeyote ambaye ni DHALIMU atapendwa na raia anaowaongoza. Jiwe kajaa VISASI, acha wazungu wamwadabishe.
 
Mara hii Jiwe kashikwa koroda..... Hawezi kufurukuta. Ametolewa nje ya mstari. Hakuna kiongozi yeyote ambaye ni DHALIMU atapendwa na raia anaowaongoza. Jiwe kajaa VISASI, acha wazungu wamwadabishe.
 
Daima wazungu huwa hawaingilii nchi za kiafrika kama viongozi hawajajichanganya mfano wa Libya ulioutoa ni kwamba binadamu anahitaji Uhuru na usalama kuliki chochote, ndio maana tuliwafukuza wakoloni pamoja na kwamba walikuwa wanajenga reli, barabara, viwanda nk. Kitendo cha kuzuiwa kusema na usalama duni tuliwafukuza, haya yanawaoonza viongozi wa Africa na nchi zao. Ifike mahala tuwe watu badala ya kuwa kama wanyama.
 
Tanzania Ni nchi huru.tulishapata Uhuru wetu toka 1961..TUnataka tujiamulie mambo yetu sisi Ni huru kisiasa tunapaswa tuelekeze nguvu kuondoa huu ukoloni mambo leo
 
Njia sahihi ya kuachana na wazungu ni kujibidiisha kuuweka uchumi was watu wako juu,kuwa kiongozi Bora wa raia wako,Linda Uhuru na ustawi wa watu na taifa lako,msichukulie ushoga Kama ndio ajenda kuu,yanyofanyika Yana madhara zaidi hata ya ushoga! Hali ikiwa ngumu ushoga hauna pa kutokea nk.
Ni nature ya binadamu ukimfinya Sana au ukimkandamiza sana lazima atatafuta pa kulilia na msaada wa watu kwani nchi yetu haiishi kwenye kisiwa kwamba haina uhusiano na nchi nyingine so tukipiga kelele kulingana na uovu lazima Luna watu watakusikia hata nje ya mipaka yako ndio hwa akina EU nk! Alafu na wao si kwamba wanapiga Tu kelele,hapana ni Kwa kuwa mliingia nao mikataba na mkaridhia terms zao,sasa leo mmekiuka mnaanza kuwalaum tena.
Nasisitiza tena njia pekee ya kuepuka hira za wazungu ni tends wema Kwa raia wako,heshimu haki za raia wako,fuata Yale mliokubaliana na asasi zingine za kimataifa
 
Kwanza niwaambie tu kama raia lazima ulinde uhuru wa nchi yako. Kuruhusu hawa wazungu waingilie mambo ya ndani ya hawana cha kupoteza kwa lolote. Pale Libya kwa mfano walipofanikiwa kuwaingia raia baada ya kushidwa kulinda uhuru wao hadi sasa mnajua yaliyopo la sivyo tunataka kuugawa uhuru wetu.

Hii kitu inayoendelea haiwezi fanywa na wazungu iwapo kila mtanzania ataamua kulinda uhuru wa nchi.

Kuna wanasiasa ukiwaangalia kabisa hawafai hata kuingia mlango wa ikulu ama wa bungeni maana wanainajisi nchi yetu na wanashindwa kulinda uhuru wa nchi yetu kwa sasabu za njaa zao.

Baada ya kupata uhuru mwaka 1961 sasa ni zamu ya kujenga nchi. Kila mmoja anajua jinsi sasa hivi nchi yetu inajitahidi kujenga miundo mbinu ya uchumi hapa hakuna wa kupinga maana kazi inapigwa kweli kweli. Cha mshingi tujenge nchi.

Pili baada ya uchaguzi wa 2015 ifahamike kwamba ccm iligawanyika sana - Timu Lowasa na Timu Membe zilimtesa sana JK na baada ya JPM kuingia madalakani kila mmoja alijua hataiweza ccm. Ni kweli kwamba JPM amejitahi sana kwa kiasi cha kukimudu kiti cha uenyekiti ambapo JK alikuwa anapotezea bila kuchukua hatua. Sasa hivi ccm bado inapitia kwenye kipindi cha 2015 - Timu Membe na Timu Lowasa bado zinatamani zipate urais eiza kupitia wenyewe moja kwa moja ama zitumie mwamvuli wa majina ya hao wawili.

Pamoja na mapungufu ya aliyo nayo JPM lakini anatimiza yale aliyotuahidi wapiga kura wake mwaka 2015 -- Mlioshindwa subirini 2020 mje muuze sera zenu tumuache Rais atufanyie kazi. Pigeni kelele bungeni.

Naamini JPM atamilizana na Wazungu na ataendeleea naujenzi wa nchi bila kuyumbishwa.

Mungu ibariki TZ.
Tunaipenda Tanzania yetu sana kama wazalendo na nchi yetu ,lakini katika andiko la EU ni vema serikali ikayatafakari vema na kuyaafanyia maamuzi sahihi hasa pale walipo shauriwa juu ya mambo kadha wa kadha yatokanayo na barua

Hivyo kilichotamkwa na EU kupitia barua yao ni vema serikali isiwabeze Bali itumie hekima ya hali ya juu kutatua mapungufu waliyo akisiwa ambayo watanzania wengi wanatambua hayo na sio kutoa majibu kwahisia
 
Mara hii Jiwe kashikwa koroda..... Hawezi kufurukuta. Ametolewa nje ya mstari. Hakuna kiongozi yeyote ambaye ni DHALIMU atapendwa na raia anaowaongoza. Jiwe kajaa VISASI, acha wazungu wamwadabishe.
Na likipita bila lolote kutokea utakuja na maneno gan mengine
 
Hakuna binadamu ambaye namdharau kama yule ambaye anakwenda kwa jirani kutafuta suluhisho la nyumbani kwake
Hakika binadamu kama huyo ni mlaaniwa na ata zika watoto wake na mkewe ata lala na ndugu zake wote pamoja na jirani
Na mkewe atakuwa mjane katika umri mdogo
Hawa watu ni walaaniwa na makafara wa nchi
Wafe ili nchi iendelee
Hiyo ndio siri kubwa
Mwenye hekima na busara pamoja na baraka kutoka kwa Mwenyezi Mungu atanielewa maneno ya kinywa changu!
Amina amina amina na amina
 
Umezungumzia watu badala ya matatizo yanayodaiwa na EU pamoja US !! eg Team Membe, Team Lowassa, Maghufuli nk, badala kujadili hoja zilizoletwa mezani na hao jamaa !!!!

1. Je u dictator upo au haupo. Na unauelewa ?!
2. Je sheria kandamizi za mitandao, takwimu , vyama, nk zipo ?!
3. Ni kweli watu wanatekwa na kupotezwa ?!
4. Je Makonda aliwatishia amani mashoga na wasagaji ?!
5. Je viongozi wa upinzani wanabambikiwa kesi ?!. eg kuuawa kwa Akwilina.
6. Je vyama tofauti na CCM vinakandamizwa kufanya siasa ?!

Unapiwalaani wanaounga mkono hao mnaowaita ma beberu. Tafakari kama serikali nayo iko fair kwa watu wa kada zote. Kama wana mipango inayokandamiza wengine kwa maslahi yao ya kisiasa then hauko sawa. Tuwe na utaratibu ulio sawa kwa wote .
Nakubaliana na HOJA zako kabisa tena sana Mfano kama ulivyoziorodhesha
1. Udikiteta upo? JIBU Upo inategemea na vile una udefine hakuna nchi isiyo kuwa na uditeta hata moja duniani
2.Sheria Kandamizi. Jibu ZIPO kwa mitandao ,takwimu .. Hii ikiachwa kila mmoja kusema au kufanya au kutoa taarifa Basi tutakuwa na taarifa nyingi inatokana na anayetuambia anataka nini
3. UTEKWAJI. upo na haujaanza leo ktk nchi zote sometime lazima wengine tuwe silenced kwa njia yoyote. Hii tangu kipindi cha Mchonga Meno watu walikuwa detained hata kupotezwa. Je Ntuntemeke Sanga stori yake ikoje? Kolimba. Lengo la Security service duniani ni ku operate secretly na ku silence si KGB MOSAAD M16 CIA au TISS
MAKONDA na Ushoga ni Kweli ALIWATISHIA. Lkn ni nani kati yetu anayetamani dada yake asagane au aletewwe posa ya kuolewa kijana wake wa kiume? Utamaduni wetu hatukubali kwa hiyo njaa si sababu ya kuburuzwa.
Ubambikwaji Kesi kwa viongozi WETU wa Upinzani. Inaweza iwe KWELI kabisa. Lkn nani asiyejua kuwa Bro Lisu ni miongoni mwa watu walioshtakiwa mara nyingi zaidi lkn zooote ALIWABWAGA . Hii tunaweza kulilalamikia kwa kuwafanya wasifanye majukumu yao na kuwafanya wawe watu wa kufika polisi na mahakamani tu. Hatuliungi mkono.
Ukandamiza vyama isipokuea ccm . Linaweza kuwa la KINADHALIA au KUFIKIRIKA.
Vyama hivi tunavyo mtaani mfano wakati wa kampeni unapotokea uchaguzi aidha kujaza nafasi wanakuja wengine staili bora kuliko zote ya nyumba kwa nyumba sinaona Wamekamatwa. Ikumbukwe kuwa pasipo Ruzuku vyama vingi havina uwezo kushindana na ccm yenye asset na mali hivyo wimbi la bana matumizi ikiwemo ruzuku inaviathiri tu hivyo vinaweza kushawishika kupewa pesa na wafadhili nje wakiwa na lengo lao
Nadhani kama serkali imewabana waje mtaani door to door tena low cost hiyo ccm inakuja kushtuka haina mizizi huku chini
Asante nawasilisha pasipo itikadi au mlengo wa chama chochote
Nakataaa KUPANGIWA na EU au aweye yote foreigner
 
Kwanza niwaambie tu kama raia lazima ulinde uhuru wa nchi yako. Kuruhusu hawa wazungu waingilie mambo ya ndani ya hawana cha kupoteza kwa lolote. Pale Libya kwa mfano walipofanikiwa kuwaingia raia baada ya kushidwa kulinda uhuru wao hadi sasa mnajua yaliyopo la sivyo tunataka kuugawa uhuru wetu.

Hii kitu inayoendelea haiwezi fanywa na wazungu iwapo kila mtanzania ataamua kulinda uhuru wa nchi.

Kuna wanasiasa ukiwaangalia kabisa hawafai hata kuingia mlango wa ikulu ama wa bungeni maana wanainajisi nchi yetu na wanashindwa kulinda uhuru wa nchi yetu kwa sasabu za njaa zao.

Baada ya kupata uhuru mwaka 1961 sasa ni zamu ya kujenga nchi. Kila mmoja anajua jinsi sasa hivi nchi yetu inajitahidi kujenga miundo mbinu ya uchumi hapa hakuna wa kupinga maana kazi inapigwa kweli kweli. Cha mshingi tujenge nchi.

Pili baada ya uchaguzi wa 2015 ifahamike kwamba ccm iligawanyika sana - Timu Lowasa na Timu Membe zilimtesa sana JK na baada ya JPM kuingia madalakani kila mmoja alijua hataiweza ccm. Ni kweli kwamba JPM amejitahi sana kwa kiasi cha kukimudu kiti cha uenyekiti ambapo JK alikuwa anapotezea bila kuchukua hatua. Sasa hivi ccm bado inapitia kwenye kipindi cha 2015 - Timu Membe na Timu Lowasa bado zinatamani zipate urais eiza kupitia wenyewe moja kwa moja ama zitumie mwamvuli wa majina ya hao wawili.

Pamoja na mapungufu ya aliyo nayo JPM lakini anatimiza yale aliyotuahidi wapiga kura wake mwaka 2015 -- Mlioshindwa subirini 2020 mje muuze sera zenu tumuache Rais atufanyie kazi. Pigeni kelele bungeni.

Naamini JPM atamilizana na Wazungu na ataendeleea naujenzi wa nchi bila kuyumbishwa.

Mungu ibariki TZ.
Kama kweli wewe unaipenda nchi yako na raia wake unatakiwa umshauri Raisi ayafanyie kazi yale yaliyo semwa na wazungu
Na kama unaona kuwa yale yaliyosemwa na wazungu sio ya kweli basi wewe IQ yako ni 0.00000001

SHERIA KANDAMUZI
Hi inawahusu wastafu pia wanarazimishwa wapewe 25% wakati pesa ni zakwao walizokuwa wanakatwa ktk mishahara yao

UHURU WA KUPATA HABARI
kila mtu ameona TCRA imeondoa local channel katika ving'amuzi bila ya sababu za msingi

WANASIASA KUWEKWA RUMANDE
Nadhani wewe mwenyewe unajua MBOWE na wenziwe wapo wapi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom