Nawashangaa Sana masikini wanaoshabikia CCM

Nawashangaa Sana masikini wanaoshabikia CCM

hivi watanzania tumelogwa na nani, tunahitaji nini kufunguliwa macho kuona udhalimu wa ccm. Ni familia gani ya kigogo wa ccm inaishi maisha ya kawaida isipokua ya mwalimu nyerere?

pumbavu UKAWA utapata utajiri gani?
 
Hivi Watanzania tumelogwa na Nani, Tunahitaji nini kufunguliwa macho kuona Udhalimu wa CCM. Ni familia gani ya Kigogo wa ccm inaishi maisha ya kawaida isipokua ya Mwalimu Nyerere?

Umaskini wa kipato,uhaba wa maji,uhaba wa madawa hospitalini,ukosefu wa masoko ya mazao,ukosefu wa pembejeo na mbegu bora,kodi na michango ya Mwenge,maabara,na michango ya yanayoitwa maendeleo,Ukosefu wa walimu,madawati,vitabu,vifaa vya maabara,ukosefu wa mabweni ya watoto wa kike,barabara mbovu,makazi duni,mavazi duni,mlo mmoja,daaaah!!Mimi ninachukua,ninaweka LOWASSA!!
 
Hivi Watanzania tumelogwa na Nani, Tunahitaji nini kufunguliwa macho kuona Udhalimu wa CCM. Ni familia gani ya Kigogo wa ccm inaishi maisha ya kawaida isipokua ya Mwalimu Nyerere?

Babako alikufa masikini, hata yeye sababu ni ccm!?
 
Maskini wengi wanaoshabikia CCM wanaishi kama Mbuzi na wengine hulala zizi moja na mbuzi ila hawajui kama wanalala na mbuzi .
 
Hivi Watanzania tumelogwa na Nani, Tunahitaji nini kufunguliwa macho kuona Udhalimu wa CCM. Ni familia gani ya Kigogo wa ccm inaishi maisha ya kawaida isipokua ya Mwalimu Nyerere?

Hata so tunawashangaa wanaoshabikia mafisadi wa ukawa
 
Hivi Watanzania tumelogwa na Nani, Tunahitaji nini kufunguliwa macho kuona Udhalimu wa CCM. Ni familia gani ya Kigogo wa ccm inaishi maisha ya kawaida isipokua ya Mwalimu Nyerere?

Pole sana kwa kukaririshwa. Ujinga wako ndio unaokufanya uone huo umaskini ulionao umesababishwa na CCM. Punguza starehe, punguza uvivu, punguza tabia ya kulalamika, tumia elimu uliyoipata kujiletea maendeleo, fanya kazi kwa bidii, kile kidogo unachopata kisave, vaa nguo zinazoendana na kipato chako, miliki simu zinazoendana na kipato chako, acha matumizi ya simu yasiyo na faida. Jiwekee malengo walau kwa mwaka mzima na mwaka ukiisha jipime kama umefikia malengo yako. Na la zaidi acha kuhonga. Ukifanya haya hutakuwa na lawama kwa CCM na maisha yako yatakuwa bora.
 
Hata mimi jirani yngu anauza mkaa kila siku anapigwa vumbi na masizi ya mkaa eti ni ccm. Nanwangalia simpatii picha na juzi kapewa elfu 20 kwenye mkutano yani humwambii kitu kuhusu ccm kabisa.

Hayo ni masalia machache ambayo ccm inayategemea, kwa mujibu wa takwimu vijana wapiga kura ni wengi kuliko hao wengine ambao nadhani huyo atakuwa kwenye 50s. au pungufu kidogo, na elimu hakuna.
 

Pole sana kwa kukaririshwa. Ujinga wako ndio unaokufanya uone huo umaskini ulionao umesababishwa na CCM. Punguza starehe, punguza uvivu, punguza tabia ya kulalamika, tumia elimu uliyoipata kujiletea maendeleo, fanya kazi kwa bidii, kile kidogo unachopata kisave, vaa nguo zinazoendana na kipato chako, miliki simu zinazoendana na kipato chako, acha matumizi ya simu yasiyo na faida. Jiwekee malengo walau kwa mwaka mzima na mwaka ukiisha jipime kama umefikia malengo yako. Na la zaidi acha kuhonga. Ukifanya haya hutakuwa na lawama kwa CCM na maisha yako yatakuwa bora.

Afadhali umenisaidia kuwaambia hao wapenda vya bure
 
Back
Top Bottom