Kama saccos kumbe?
Aaah ha ha ha haaaaaaah!!
Kama saccos kumbe?
Kwani mtoto wa Lowasa anasoma shule za kata acheni ujinga
weka source mkuu maana kuna sheria ya TCRA.Mtoto wa MAGUFULI anasoma sekondari ya kata
Au nitajie mtoto wa kigogo anaeye soma shule ya kataaaa
Hivi Watanzania tumelogwa na Nani, Tunahitaji nini kufunguliwa macho kuona Udhalimu wa CCM. Ni familia gani ya Kigogo wa ccm inaishi maisha ya kawaida isipokua ya Mwalimu Nyerere?
Nakubaliana na wewe 100%.Somehow nadhani watanzania akili zetu zimechezewa.Haiingii akilini kwamba mtu mwenye akili timamu kabisa aishabikie CCM.
Ukitaka kumtawala mtu mfanye masikini wa fikra. Hiki ndicho walichofanikiwa ccm.
Wananchi wamekuwa masikini mno haswa vijijini, wanahangaika kutafuta huduma za jamii ambazo ni duni kwelikweli. Lakini kwa umasikini wa fikra ndio haohao huwaelezi kitu juu ya ccm wakakuelewa.. Ubwabwa tshrt , kanga na kofia zinatosha kabisa kuwafanya wasahau matatizo yao yote .
Hivi Watanzania tumelogwa na Nani, Tunahitaji nini kufunguliwa macho kuona Udhalimu wa CCM. Ni familia gani ya Kigogo wa ccm inaishi maisha ya kawaida isipokua ya Mwalimu Nyerere?
Kwani ni familia gani ya kigogo wa UKAWA anaishi maisha ya kawaida kama nyie Mazombie
Inawezekana akawa nazo akili lakini hazina uwezo wa kupambanua mambo kutokana na elimu eidha kuwa ndogo, duni au hakuna kabisa!! Ili kuweza kupambana na maadui maradhi, ufukara/umasikini na ujinga unahitaji nyenzo moja kubwa na muhimu sana...ELIMU BORA. Pamoja na ahadi zote nzuri zinazotelewa na wagombea wa nafasi mbali mbali za uongozi wa Taifa letu, kama elimu haitaboreshwa ni kazi bure tu! Kwa hiyo kitu cha msingi sana kwetu kama Taifa ni ELIMU...ELIMU...ELIMU ILIYO BORA KWANZA.Mtu ambaye anaikubali CCM kwangu naamini kuna tatizo kwenye akili yake.
Mtoto wa MAGUFULI anasoma sekondari ya kata
Amekuhamisha pekee akoShida na Lowasa ametuhamisha hafai