mfungwa
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 1,294
- 345
Amekuhamisha pekee ako
# Kikazi zaidi
Amekuhamisha pekee ako
Utajiri ni imani.Si kila mtu ana imani hiyo.Ingekuwa kila mtu ana imani hiyo ya utajiri kusingekuwa na maskini duniani.
Usishangae mtu asiyeamini unachokiamini.Binadamu ana uhuru wa kuamini chochote yuko anayeamini Mungu ndiYe Mungu na yuko anayeamini NG`OMBE NDIYE MUNGU
Sasa kwa taarifa yako - wenye kuipenda CCM ni wale ambao masikini zaidi. Unaweza kumkuta mtu anagonga mlo mmoja tu kwa siku lakini ni CCM damu.
Nina mama mmoja ndugu yangu ni maskini lakini ccm damu, juzi kaja anaomba hela kwangu nikamwambia kaombe ofisi ya ccm, duh mke wangu aliniwakia kwa kauli hiyo ikabidi yeye ndie ampe mimi nilishaondoka hapo. Ndio mwendo huo maskini nendeni ofisi za ccm ndio mkaombe hela.
kuna mother huwa anapenda sana kunililia shida hasa kipindi cha asubuhi kuwa hana hela ya kula na vitu vingne...pia ana watoto wanne afu yupo pekeake....juzi nkakuta anamponda lowassa tapeli fisadi mwizi na mgonjwa hawezi kumpa kura yake....mi nikamuuliza mbona raisi wenu ni bingwa wa kudondoka majukwaani lakini hamumsemi...!!?? Vip kuhusu tezi dume, pia nkamuliza nitajie ufisadi ambao lowassa kaufanya.. Nkamuliza pia lowasa anaumwa nini....!!?? Akashindwa kunijibu na akaanza kunichukia....mi nkaondoka zangu....cku ya 3 akamtuma mtoto wake wa pili nenda kamwambie kaka aniazime elfu 55 nadaiwa na vikoba....hah hah hah hah hah guess what was de answer
Usimtolee mfano huyo aliyetelekeza mke na watoto akakimbilia kwa kimada mke wa mtu.
Huyo sio mfano bora kwenye jamii, uliza watoto wa mchepuko wake huo anawasomesha wapi?
Nyie mnadhani yule mama mwl kuamua kususa vigora ni mchezo? Hamumjui Pombe Nyie na vituko vyama!
Nakushangaa vlevle ww kijana unaeshabikia UKAWAHivi Watanzania tumelogwa na Nani, Tunahitaji nini kufunguliwa macho kuona Udhalimu wa CCM. Ni familia gani ya Kigogo wa ccm inaishi maisha ya kawaida isipokua ya Mwalimu Nyerere?
Sielewi, mtoto wa mbowe au lowasa wanasoma shule za kata? Mbowe (chadema) kwa mabilioni wanayoamisha washawahi kujenga shule hata moja au kufanya chochote kama kuwasaidia wa Tanzania; kwa mfano kutoa scholarship kwa watoto masikini, kujenga kituo cha watoto yatima, kuwapa mikopo wa kina mama n.k vitu vidogo tu kama CSR kusaidia jamii inayowazunguka. Kama laah hawa watu wanautofauti gani na hawa CCM. Wewe hichi chama cha familia ya Mtei kimeku brainwash wenzio wanataka dola walipe madeni kutoka kwa wafadhili unadhani misaada wanapewa tu bure (hawa wanafanaya long term investment) . CCM, chadema wote wale wale na mwisho wa siku wa Tanzania 'wengi' wakifika kwenye chumba cha kupiga kura wanafikiriaga haya mambo, ndio maana wanampigia shetani wanaemfahamu au simba aliyeshiba.
Sasa kwa taarifa yako - wenye kuipenda CCM ni wale ambao masikini zaidi. Unaweza kumkuta mtu anagonga mlo mmoja tu kwa siku lakini ni CCM damu.
Hiyo ni kweli Mkuu. Pia kama kitu nimekibaini kutoka kwa watu ambao wana shida nyingi sana na hawapati huduma muhimu za kijamii kana Elimu bora, Afya na Maji safi na Salama ni kua hawajafahamu bado kua matatizo yote wanayokumbana nayo yanahusiana na Chama wanachokishabikia.
Ndio maana unakuta mtu ni hohe hahe hana uhakika wa maisha, kupata mlo hata mmoja kwa siku, anatibiwa kwenye Hospitali zisizokua na huduma za msingi pamoja na makazi duni ndio wa kwanza kuishabikia CCM.
Mfano mzuri ni huu.
Kuna Mother huwa anapenda sana kunililia shida hasa kipindi cha Asubuhi kuwa hana hela ya kula na vitu vingne...pia ana watoto wanne afu yupo pekeake....Juzi nkakuta anamponda Lowassa Tapeli Fisadi Mwizi na Mgonjwa hawezi kumpa Kura yake....Mi nikamuuliza Mbona Raisi wenu ni bingwa wa Kudondoka Majukwaani lakini hamumsemi...!!?? Vip kuhusu Tezi Dume, pia Nkamuliza Nitajie Ufisadi ambao Lowassa Kaufanya.. Nkamuliza pia Lowasa anaumwa nini....!!?? Akashindwa kunijibu na akaanza kunichukia....mi nkaondoka zangu....cku ya 3 akamtuma mtoto wake wa pili nenda kamwambie kaka aniazime Elfu 55 nadaiwa na Vikoba....hah hah hah hah hah Guess what was de Answer
Na kwa mtindo huu hata mkeo atahamia CCM kama alikuwa CHADEMA, vinginevyo hutawapata wafuasi hata siku moja...!
Nina mama mmoja ndugu yangu ni maskini lakini ccm damu, juzi kaja anaomba hela kwangu nikamwambia kaombe ofisi ya ccm, duh mke wangu aliniwakia kwa kauli hiyo ikabidi yeye ndie ampe mimi nilishaondoka hapo. Ndio mwendo huo maskini nendeni ofisi za ccm ndio mkaombe hela.
Ndo Point Uliyokua Nayo Hiyo!!!
Hivi Watanzania tumelogwa na Nani, Tunahitaji nini kufunguliwa macho kuona Udhalimu wa CCM. Ni familia gani ya Kigogo wa ccm inaishi maisha ya kawaida isipokua ya Mwalimu Nyerere?