Nawashangaa Sana masikini wanaoshabikia CCM

Nawashangaa Sana masikini wanaoshabikia CCM

Wewe Unashinda Kijiweni Mtaani Kwenu Uchafu Kibao Unashindwa Kutake That Opportunity Kujiajiri Kwa Kukusanya Takataka Ukapa Msosi Unalalamika Maskini.
Af Unailalamikia Ccm Kwa Uvivu Wako Wa Kufikirisha Ubongo Na Kukamata Fursa.Unadhani Ukawa Itakuja Hapo Kukupa Pesa
Acha Ujinga.
 
Hivi Watanzania tumelogwa na Nani, Tunahitaji nini kufunguliwa macho kuona Udhalimu wa CCM. Ni familia gani ya Kigogo wa ccm inaishi maisha ya kawaida isipokua ya Mwalimu Nyerere?

Au nitajie mtoto wa kigogo anaeye soma shule ya kataaaa
 
Nina mama mmoja ndugu yangu ni maskini lakini ccm damu, juzi kaja anaomba hela kwangu nikamwambia kaombe ofisi ya ccm, duh mke wangu aliniwakia kwa kauli hiyo ikabidi yeye ndie ampe mimi nilishaondoka hapo. Ndio mwendo huo maskini nendeni ofisi za ccm ndio mkaombe hela.
 
Utajiri ni imani.Si kila mtu ana imani hiyo.Ingekuwa kila mtu ana imani hiyo ya utajiri kusingekuwa na maskini duniani.
Usishangae mtu asiyeamini unachokiamini.Binadamu ana uhuru wa kuamini chochote yuko anayeamini Mungu ndiYe Mungu na yuko anayeamini NG`OMBE NDIYE MUNGU
 
Mtoto wa MAGUFULI anasoma sekondari ya kata
Usimtolee mfano huyo aliyetelekeza mke na watoto akakimbilia kwa kimada mke wa mtu.
Huyo sio mfano bora kwenye jamii, uliza watoto wa mchepuko wake huo anawasomesha wapi?
Nyie mnadhani yule mama mwl kuamua kususa vigora ni mchezo? Hamumjui Pombe Nyie na vituko vyama!
 
Nina mama mmoja ndugu yangu ni maskini lakini ccm damu, juzi kaja anaomba hela kwangu nikamwambia kaombe ofisi ya ccm, duh mke wangu aliniwakia kwa kauli hiyo ikabidi yeye ndie ampe mimi nilishaondoka hapo. Ndio mwendo huo maskini nendeni ofisi za ccm ndio mkaombe hela.

Mimi Naumiasana Ninapoona watu kama Home shooping centre family wanavyopeta
 
Wewe Unashinda Kijiweni Mtaani Kwenu Uchafu Kibao Unashindwa Kutake That Opportunity Kujiajiri Kwa Kukusanya Takataka Ukapa Msosi Unalalamika Maskini.
Af Unailalamikia Ccm Kwa Uvivu Wako Wa Kufikirisha Ubongo Na Kukamata Fursa.Unadhani Ukawa Itakuja Hapo Kukupa Pesa
Acha Ujinga.


Wanakugonga wenzako!
 
Hivi Watanzania tumelogwa na Nani, Tunahitaji nini kufunguliwa macho kuona Udhalimu wa CCM. Ni familia gani ya Kigogo wa ccm inaishi maisha ya kawaida isipokua ya Mwalimu Nyerere?

Shida na Lowasa ametuhamisha hafai
 
Sasa kwa taarifa yako - wenye kuipenda CCM ni wale ambao masikini zaidi. Unaweza kumkuta mtu anagonga mlo mmoja tu kwa siku lakini ni CCM damu.
 
Nina mama mmoja ndugu yangu ni maskini lakini ccm damu, juzi kaja anaomba hela kwangu nikamwambia kaombe ofisi ya ccm, duh mke wangu aliniwakia kwa kauli hiyo ikabidi yeye ndie ampe mimi nilishaondoka hapo. Ndio mwendo huo maskini nendeni ofisi za ccm ndio mkaombe hela.

Wewe Ukiwa Na Shida Unaendaga Ofisi Za Ukawa Kisa Wewe Upo Ukawa?
 
Sasa webondo wanakuambia ccm niileile na chama nikilekile wee huoni hawaja badilika kunahaja yakubadili mfumo
 
usiwashangae watazania maskini na wengine,inatakiwa uwaonee huruma,watawala wa kiafrica style yao ya kuongoza ni kudidimiza watu ili akili zao zisiweze kushika chochote ila kauli ya mtawala tu,hapa tanzania watu wenye uwezo wa kuona mbali na kufkiri kwa makini ni labda 10% ya population
 
Back
Top Bottom