Nawaota wanawake wenzangu kimahaba

Nawaota wanawake wenzangu kimahaba

siwez kuwa lb napenda sana black huge cocks

how will i just opt usagaji for them...??????
wewe katika starehe zote naona kudo ipo namba 1 hivi ninashangaa kwa kweli mtu asiefanya anaridhika na ni i dunia hii

Unayo kubwa sana ile kitu namesa mwensie?
 
naona wadau wengi wamependekeza maombi
hivi maombi mnayoyaongelea ni kwenye hizi kanisa za kina gwajima?????

Maombi sio mpaka aende kwa wachungaji, inapendeza akitenga muda wake binafsi na kutulia uweponi mwa Mungu maana kwa wale Wakristo wanajua kabisa kuwa tunahimizwa kuomba na sio kuombewa. Omben nanyi mtapewa, ombeni lolote kwa jina langu nanyi mtapokea....na mistari mingine mingi. So asiende kwa mchungaji, aingie ndani kwake, kama anauwezo wa kukaa nje ya nyumbani kwake angalau kwa siku tatu bs ajifungie hotelini, asome neno na aingie ktk toba. Maombi ya wachungaji hayana nguvu kama mtu hajatubu, toba ndio njia pekee ya kumdisconect na mambo anayoota.
 
Aisee!! hii ni kali yeroo!!
Okay case ya huyo dada au mmama ni ndogo mno endapo ungepata ku muuliza kiundani mpaka ujue what is the source!

Najua kuwa unajua kuwa ndoto katika perspectives za kina freud na baadhi ya watafiti huwa zinakuwa ni mazao ya matendo yetu ya kila siku, from that point ungepata 'source' labda huyo dada atuambie internet na mambo ya kuangalia au kufuatilia hizo erotic sites kaanza lini?
Lakini pia umshauri kuwa anavyo dhani mambo yapo hivyo ni tofauti na hizo tamaa zake za kingono, hao anao dhani wanafanya vile its business issue na zaid zaid ni kukuprogram na kukufanya 'slave'

Ushauri wangu wa mwisho, mbali na kumrejea mola wake na kuomba msamaha, basi afanye juu chini apate mtoto, na maanisha azae au aingie kwenye malezi hicho kitampunguzia hizo ashiki kwa asilimia tisini.

Mwisho
Siku njema.
 
masai dada na wewe umeanza lini uongo uongo huu..? mambo gani bana!
 
Last edited by a moderator:
Or its ur own problem? Seek for deliverance.
 
Ana pepo la ki marekani.... La jinsia moja. Anahitaji deliverance.

Waswahili walisema "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".

Mmarekani mbaya, internet yake dawa.

Bila Mmarekani ungekuwa unaandika barua za wasomaji gazeti la Uhuru na Mzalendo badala ya JF.
 
Waswahili walisema "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".

Mmarekani mbaya, internet yake dawa.

Bila Mmarekani ungekuwa unaandika barua za wasomaji gazeti la Uhuru na Mzalendo badala ya JF.


kwani internet inahusiana nini na serikali ya marekani kuhalalisha ndoa za jinsia moja?
 
Hii issue yake inahitaji ushauri wa ukaribu sana. Kumjua kwanza ni mwana dada wa aina gani. Kwa sababu unaweza toa ushauri kwa mzoefu wa haya mambo, ukawa unachoreka tu.
 
anahitaji ushauri wa kitaalamu, anadalili za homosexuality maada miongongi mwa vigezo ni same sex partner preference ambacho anacho
 
Hope Obama atakuja Kenya soon, akianza kurudi mwambie aombe rift warudi wote MareGAYn
 
Roho za usagaji hizo
Asipoangalia ndoa itavunjika hiyo

Suluhisho,akaombewe tu
 
Maombi sio mpaka aende kwa wachungaji, inapendeza akitenga muda wake binafsi na kutulia uweponi mwa Mungu maana kwa wale Wakristo wanajua kabisa kuwa tunahimizwa kuomba na sio kuombewa. Omben nanyi mtapewa, ombeni lolote kwa jina langu nanyi mtapokea....na mistari mingine mingi. So asiende kwa mchungaji, aingie ndani kwake, kama anauwezo wa kukaa nje ya nyumbani kwake angalau kwa siku tatu bs ajifungie hotelini, asome neno na aingie ktk toba. Maombi ya wachungaji hayana nguvu kama mtu hajatubu, toba ndio njia pekee ya kumdisconect na mambo anayoota.

What you are saying is very true, she needs prayers but not praying for herself, huyo Dada yupo kwenye kifungo na unajua hakuna mfungwa anaeweza kujifungua/kujiweka huru mwenyewe hata kwenye spiritual reams ipo hivo unless God is to intervene napo huwa Mungu anakua na special case na mtu na inatokea sana kwa watumishi (i.e Abraham)

The only advice, akaombewe.
 
Huyu anatamani kusagana na ndomana huvutiwa zaidi na wanawake kuliko wanaume. Mana angekuwa havutiwi nao asingewasifia
 
Mwambie aache kuangalia porn za malesbo. Case closed, next.
 
Tunapenda kutoa simple answers to complex issues ..
 
Back
Top Bottom