Fanya kitu kimoja ili tujue source kwanza ndipo tumshauri afanye nini fungua hizo chati copy hafu wakati una paste zi edit kwanza uondoe id yake tuu ili tuweze kumwambia nini cha kufanya kuepusha kufikia huko panapomuita kama atafanya hivo itakuwa ni rahisi maana hapo naona story tuu mwanzo haueleweki na kama amekuamini wewe anajua utamtunzia heshima 100% so msaidie kama umedhamiria kufanya halafu ni text no yako niliipoteza masai dada oky nadhani unanikumbuka