Nawaota wanawake wenzangu kimahaba

Nawaota wanawake wenzangu kimahaba

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
16,800
Reaction score
16,823
Kutoka pm,

Mdada: Mambo masai dada mimi nina tatizo lilianza zamani siwezi kulala na mwanamke mwenzangu wala kumtazama sana akiwa uchi, iyo hali sikuielewa mpaka nilivyoanza kuwaota na katika hali isiyo ya kawaida mume wangu kuna siku aliniuliza mbona unapenda kuwasifia sana wanawake wenzio,inatokea tu nawasifia ile siku nilikosa jibu na kuanzia ile siku nilianza kuitambua kwamba hii hali ni ya hatari (NIMEAMISHA STORY KUTOKA PM SIWEZ SCREN SHOT WALA KUILETA KAMA ILIVYO)

masai dada: Duh pole sana jaribu kupost utapata majibu mengi,mimi ki ukweli hili tatizo sijawahi lishuhudia kwa mtu kiasi cha kujua alitatuaje anyways unampenda mume wako na una hisia nae?

Mdada: nampenda sana na sitaki kufanya chochote kibaya na kuhusu kupost hapana hii id anaijua mume wangu naomba nisaidie wewe.

masai dada: Unanipa mtihani maana siwezi screenshot id yako itatokea ina maana mpaka niandike?

mdada: Nakuomba tafadhali

masai dada: Nikipata muda nitafanya hivyo

mdada: Nitashukuru sana yaani sijui nisemeje......

Hi conversation tuliifanya kama wiki 3 sasa imepita ila nilikosa muda nikamwambia nikipata nitamuwekea, leo kanikumbusha kwa hiyo yupo online atakua anafatilia majibu yake.
 
masai dada mbona unajihami sana ? love wins. siku hizi wasagaji ni wengi sana wala hakuna cha ajabu tena hata watu wazima
 
Last edited by a moderator:
huyo dada nahisi atakuwa ni msa ga ji yuko kwenye timing hapo,awe ni mgeni ama mzoefu au kazoezwa?
 
masai dada mbona unajihami sana ? love wins. siku hizi wasagaji ni wengi sana wala hakuna cha ajabu tena hata watu wazima

siwez kuwa lb napenda sana black huge cocks

how will i just opt usagaji for them...??????
wewe katika starehe zote naona kudo ipo namba 1 hivi ninashangaa kwa kweli mtu asiefanya anaridhika na ni i dunia hii
 
Last edited by a moderator:
huyo dada nahisi atakuwa ni msa ga ji yuko kwenye timing hapo,awe ni mgeni ama mzoefu au kazoezwa?

hapana ni mtu mzima sana na ana watoto na maisha yake yote hajawahi kufanya hicho kitendo
some othe info siwez eka hapo ila tumeongea sana na nimemfaham kwa undan kidogo hapo jimefupisha kiasi
tatizo hizo ndoto anadai zinamtesa na mambo ya namna hiyo
 
siwez kuwa lb napenda sana black huge cocks

how will i just opt usagaji for them...??????
wewe katika starehe zote naona kudo ipo namba 1 hivi ninashangaa kwa kweli mtu asiefanya anaridhika na ni i dunia hii

jamani bibie "huge black cockS" mbona umeiweka katika prular tena,unatusisimua wengine
 
siwez kuwa lb napenda sana black huge cocks

how will i just opt usagaji for them...??????
wewe katika starehe zote naona kudo ipo namba 1 hivi ninashangaa kwa kweli mtu asiefanya anaridhika na ni i dunia hii

Do u like BBC!?

Umesema yupo Online anafatilia eenh.. Then she has to PM, I will help her.
 
Mawazo yake ameyaweka huko kwa wanawake wenzake, ama hayupo busy sana na kazi ama shughuli za maisha ndio maana anapata muda wa kuwaza mawazo ya kishetani namna hiyo. Nionavyo mimi awe busy na shughuli zake iwe za nyumbani ama ofisini na abadili mawazo yake juu ya wanawake wenzie, kwa maana ALIWAZALO MTU NDILO LITALOMTOKEA.
 
hapana ni mtu mzima sana na ana watoto na maisha yake yote hajawahi kufanya hicho kitendo
some othe info siwez eka hapo ila tumeongea sana na nimemfaham kwa undan kidogo hapo jimefupisha kiasi
tatizo hizo ndoto anadai zinamtesa na mambo ya namna hiyo

kha! hilo tatizo la ndoto labda apate wataalamu wa unajimu wamubashirie! ila kama point ni kuota wanawake wenzie tena in a romantic way mmh!
 
Mwambie aende akamuone daktari wa saikolojia au aende UDSM akamtafute mtu anaitwa Dismas Liasa ni mtaalam wa saikolojia....!
 
Back
Top Bottom