Nawaombeni ushauri kuhusu huyu mtoto

Nawaombeni ushauri kuhusu huyu mtoto

yani km mama unaniudhi hayo maelezo yako,unataka mtoto abakwe au huckii cku hz wababa wanavobaka,hebu fata sheria
 
Jamani hivi kweli wanaume wa shoka tumebaki wachache namna hii, tena ngoja niondoke kwenye hii mada umeshaniuzi
 
Baada ya kumaliza shule nilimpa girlfriend wangu mimba,baadae tulitengana nikamuacha akiwa na mimba ya miezi 7 mm nikaenda masomoni nchini kenya na yeye baadae alitoka kuja dsm kwa dadake,toka hapo tulipotezana,akiwa kwa dadake dar alijifungua mtoto wa kike baada ya kujifungua alikaa kwa mda wa miaka 3 akatokea jamaa mmoja akamuoa na yule mtoto,mwaka jana kwa mara ya kwanza alinipigia cm (cjui namba alipata wapi) akiniambia unajua kama nilikuwa na mwanao?nikamjibu najua,alimueleza na mtoto ukweli wote na kumpa no yangu toka hapo mtoto ananilalamikia anavyoteswa,mama yake alifanya mpango akamtoa mtoto na kumpakiza kwenye gari toka arusha kuja kwangu dar nae akaja tukaandikishana mahakamani kwamba amenikabidhi mtoto(kumbuka alimtoa bila mwanamme kujua)akamwacha mtoto kwangu yeye akarudi arusha kwa mumewe mimi nikamuingiza mtoto shule(yuko form 2),alivyofika kwa mumewe akaanza kumtisha kwamba atamkata mapanga asiporudisha mtoto,mwanamke akanipigia cm kunibembeleza nimrudishie mtoto ili anusuru ndoa yake,nilivyo mwambia mtoto kurudi alikataa kata kata kwamba amechoka na manyanyaso na hawezi kurudi,nilmdanganya kwamba aende atarudi baada ya mwezi toka alivyoenda ananipigia cm akilia na kulalamika kwamba yeye anataka aje kwa baba yake yani kwangu.je nifanye nini?


mtoto ana miaka 16
je












mama yake alipokuletea uyo dogo uku Da
Auku du naye maana kwenye maelezo yako aujatuambia kama bado unampenda aula la
 
Natamani mwanamke anipigie simu kuwa ana mtoto wangu nikamchukue, lakini awe wa ukweli nasi wa kuchakachua, kamanyora kachukue mwanao haraka, au unaogopa majukumu?
 
Last edited by a moderator:
kwa kuwa mlikabidhiana mtoto kisheria haukutakiwa kumwachia tena,
kweli lazima kuna gharama zimetumika kumtunza mpaka hapo alipofikia sasa na ulitakiwa uzilipe
waambie wazazi wako kama wapo hai washughulikie hiyo issue, vinginevyo utakuwa haumtendei mtoto haki.

wazazi wangu wako hai na hilo walishajaribu lakini mama wa mtoto hana tatizo wala bibi yake mtoto tatizo ni mwanaume ndio kikwazo hataki
 
kamanyora mmmh! haya ndo yale Nyani Ngabu huita complication za blended families..............
cha kufanya mchukue mwanao umlee basi.

huyo mama atetee ndoa yake bila nyenzo ya mwanao maisha yake yote.
muda mwingine ni busara kuwa na roho mbaya tu.
 
Last edited by a moderator:
Baada ya kumaliza shule nilimpa girlfriend wangu mimba,baadae tulitengana nikamuacha akiwa na mimba ya miezi 7 mm nikaenda masomoni nchini kenya na yeye baadae alitoka kuja dsm kwa dadake,toka hapo tulipotezana,akiwa kwa dadake dar alijifungua mtoto wa kike baada ya kujifungua alikaa kwa mda wa miaka 3 akatokea jamaa mmoja akamuoa na yule mtoto,mwaka jana kwa mara ya kwanza alinipigia cm (cjui namba alipata wapi) akiniambia unajua kama nilikuwa na mwanao?nikamjibu najua,alimueleza na mtoto ukweli wote na kumpa no yangu toka hapo mtoto ananilalamikia anavyoteswa,mama yake alifanya mpango akamtoa mtoto na kumpakiza kwenye gari toka arusha kuja kwangu dar nae akaja tukaandikishana mahakamani kwamba amenikabidhi mtoto(kumbuka alimtoa bila mwanamme kujua)akamwacha mtoto kwangu yeye akarudi arusha kwa mumewe mimi nikamuingiza mtoto shule(yuko form 2),alivyofika kwa mumewe akaanza kumtisha kwamba atamkata mapanga asiporudisha mtoto,mwanamke akanipigia cm kunibembeleza nimrudishie mtoto ili anusuru ndoa yake,nilivyo mwambia mtoto kurudi alikataa kata kata kwamba amechoka na manyanyaso na hawezi kurudi,nilmdanganya kwamba aende atarudi baada ya mwezi toka alivyoenda ananipigia cm akilia na kulalamika kwamba yeye anataka aje kwa baba yake yani kwangu.je nifanye nini?


mtoto ana miaka 16




una udhibitisho wa maandishi Wakati mlipoandikishiana pls chukua Hiyo km udhibitisho.. Mchukue mwanao ndg. yangu.. Acjefanyiwa unyama na Huyo babake wa kambo,, MF kubakwa etc..
 
kama kweli unampenda mwanao, ni bora umtumie nauli aje kwako.. au na wewe unahofia mke wako?
 
kwani huko hajazaa na huyo mume wake mpaka jamaa ang'ang'anie huyo mtoto wako? au jamaa ana tabia chafu anafanya kwa mwanao ebu peleleza

uko sahihi.....kuna jambo zito lilofichikana hapo,,...!!
 
ushauri wenu nimeuelewa nashukuru ila kuna jambo moja ambalo naomba nijuzwe kwa anaejua,je nikimtumia mtoto nauli akatoroka akaja alafu yule mwanaume akaenda labda polisi akatoa taarifa kwamba mtoto amepotea baadae akapatikana kwangu je hii haiwezi kuleta shida? ndio hofu yangu
Kaka, mtoto wake si wako. Kwa maelezo yako huyo mwana mke kaolewa na huyo jamaa akiwa na huyo mtoto ingawa si kigezo sahihi kwani upo uwezekano kuwa alikuwa naye huku akiwa na wewe. Tafakari, toa uamuzi na chukua hatua. Kama ni wako wala huna haja ya kumtorosha, hapo ni suala la kuchukua mtoto wako. Kwishne. Unless huna uhakika Kama ni wako
 
Hivi wewe ni mwanaume? Tena ni baba? Au unaona raha mwanaume mwenzio kulea mwanao? Unauajua manyanyaso anayopitia mwanao ( kama yap o)? What if anabakwa?
 
Binti yuko 16, si ajabu (imeshatokea) huyo baba yake akawa anamuabuse sexually bila au hata kwa ufahamu wa mamaye.
Chunguza!
 
Hivi wewe unayeuliza hili swali ni mwanaume kweli? au unataka tu kupiga porojo hapa uwanjani? can you take this to riwaya za abunuwasi utuachie tuwekeze muda wetu kwenye politics na hatima ya nchi yetu​
 
Una akili sana weye!!! Hata mimi nililifikiria hili vinginevyo sioni sababu ya huyu njemba kutishia kutoa talaka na hata kumkata mkewe na mapanga. Kuna uwezekano huyu njemba analifanya hili ndio maana kamng'ang'ania asiondoke na huyu binti labda ameshindwa kumwambia baba yake ukweli halisi wa mateso husika na kuishia kumwambia anateswa tu bila kufunguka zaidi ni mateso ya namna gani. Mkuu chukua mwanao haraka sana kisha fuatilia ujue hayo mateso ni mateso ya namna gani. Kila la heri.

Binti yuko 16, si ajabu (imeshatokea) huyo baba yake akawa anamuabuse sexually bila au hata kwa ufahamu wa mamaye.
Chunguza!
 
hakuna sheria ya kung'ang'ani mtoto ambaye siyo wako
jaribu tena,
ukishindwa na kwa kuwa mtoto ameshakuwa mkubwa atakutafuta tu
ila jitahidi uwe unamfuatilia hata huku anakosoma msije kupotezena tena.

wazazi wangu wako hai na hilo walishajaribu lakini mama wa mtoto hana tatizo wala bibi yake mtoto tatizo ni mwanaume ndio kikwazo hataki
 
Back
Top Bottom