Nawaombeni ushauri kuhusu huyu mtoto

Nawaombeni ushauri kuhusu huyu mtoto

Acha kumnenepesha kafiri, chukua mtoto wako kwanza hapo hata shule hawezi soma vizuri sababu ya manyanyaso, ongea na mwanao mtumie nauli atoroke aje dar Arusha magari hadi saa tano ya kuja dar then peleka boarding akasome huko

Msaidie binti yako anaweza kuja kukuchukia bure

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Sijapata kuona mwanaume mjinga kama wewe? yani haya ndio ya kuja kuuliza hapa? yani damu yako? umeniudhi fyuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!
 
Una akili sana weye!!! Hata mimi nililifikiria hili vinginevyo sioni sababu ya huyu njemba kutishia kutoa talaka na hata kumkata mkewe na mapanga. Kuna uwezekano huyu njemba analifanya hili ndio maana kamng'ang'ania asiondoke na huyu binti labda ameshindwa kumwambia baba yake ukweli halisi wa mateso husika na kuishia kumwambia anateswa tu bila kufunguka zaidi ni mateso ya namna gani. Mkuu chukua mwanao haraka sana kisha fuatilia ujue hayo mateso ni mateso ya namna gani. Kila la heri.

Kabisa...unawaza km mimi sio bure,hayo mateso anayolalamika mtt ni ya aina gani?hebu fuatilia ukute kashatembea nae na mama hajui
Manaake ktk hali ya kawaida haiwezekani m2 amng'ang'anie mtt asiye wake kiasi hicho
 
Kamanyora,

Wewe unatumia akili au mabua? yaani wewe ndio baba yake halafu unamrudisha mtoto wako kwa stranger???

Labda mwanao anabakwa huko kila siku utajuaje???

Mchukue haraka waachie na mapenzi yao kama wanakatana mapanga wacha wakatane haikuhusu wewe! Huyo mwanamke angekuwa anateswa na huyo jamaa angeshaondoka wamekuona wewe -----!!
 
Before long huyo mtoto atakuwa na mimba ya huyo njema na anaweza kujiua utashangaa!!!
 
Ukute jamaa linakamua binti yako wee naye uko hapa unashangaa shangaa kupost sred yenye majibu yaliyo wazi.
 
We ni ms&%$$$#$... yani nimejisikia hamu ya kukutukana maana nimepata hasira sana.... Mwanaume gani wewe usiye na huruma unaamua kusacrifice maisha ya mwanao kwa sababu ya starehe ya watu ambao huna ukoo nao?!!! Hivi unajua kwamba huyo mtoto ana 50% ya 'damu' yako wakati huyo mwanamke na mumewe hawana hata 0% ya damu yako?

Yaani mwanaume anakutishia kwamba atamkapa MKEWE mapanga kama hutaki kumtoa MWANAO awe mtumwa na kiajkazi wake na wewe unakubali... Yaani hii thread yako imenitoa kwenye mood kabisa, wacha nilog out au niende kule kwenye siasa... fyuuuuuuuuuuuuuuuu...

Ilichobaki na huyu jamaa aolewe tu na huyo mwanaume! ili awe mke wa pili!!!!!

Sijawahi kuona mtu ...... kama huyu damn!!!! damn!!!!
 
Mmh kweli huyo dada bora alikupiga chini enzi hizo.
Huyo bintiyo wanamkamua maziwa hadi wakashindwa kuvjmilia chai ya rangi wakamuitisha arudi? Weeh nawe!

Hili limjamaa halipo responsible kabisa!!

Kwanza mtu gani anamuacha mwanamke na mimba halafu hata hageuki nyuma kufuatilia mwanae yupo wapi? Yaani anasubiri mwanamke amtafute yeye sio yeye atafute mwanae??

Aiseee kuna miwatu ya ajabu sana!!!
 
Ukute jamaa linakamua binti yako wee naye uko hapa unashangaa shangaa kupost sred yenye majibu yaliyo wazi.

Huyu jamaa naye vipi!! kila kitu kiko waZi, mimi nilijua ni binti wa miaka under 5years,kumbe 16
 
Una akili sana weye!!! Hata mimi nililifikiria hili vinginevyo sioni sababu ya huyu njemba kutishia kutoa talaka na hata kumkata mkewe na mapanga. Kuna uwezekano huyu njemba analifanya hili ndio maana kamng'ang'ania asiondoke na huyu binti labda ameshindwa kumwambia baba yake ukweli halisi wa mateso husika na kuishia kumwambia anateswa tu bila kufunguka zaidi ni mateso ya namna gani. Mkuu chukua mwanao haraka sana kisha fuatilia ujue hayo mateso ni mateso ya namna gani. Kila la heri.

Kweli haiingii akilini kutishia talaka kwa ajili ya binti wa kambo ambaye kaenda kwa baba yake. Kuna mengi mno yaliyofichika pale.
 
Back
Top Bottom