FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,890
- 109,222
Hapana ni wewe ndo hujatambua athari ya siasa katika maisha yetu sitaki kutoa mifano ya
nje hapa hapa nchini wakati wabunge wa majimbo mengine wanaomba wapelekewe miradi
ya maji na barabara wa kwetu aliomba aletewe pingu za kutosha.
Pia mafanikio ya nchi nyingi yanategemea sana aina ya wanasiasa na siasa ya nchi hiyo.
Ikiwa watu wenyewe ni kama wewe, huyo mbunge wala hajakosea.