No admission
JF-Expert Member
- Nov 26, 2011
- 215
- 68
Yaah hata kama unafanya mzaha ili utuchore hili ni jambo ambalo lipo ktk jamii zetu. Naomba kwa njia hii wanaumme wajifunze umuhimu kuwaheshimu wake wa ujana wao. Kwako wewe bwana Luimbo kwanza kapime VIRUSI kwani mkeo kwanza anaogopa KUFA kwani kwa story hii umejirusha na wanawake kibao? hakikisha majibu anayapata ya uhakika. Mbili Mrudie Muumba kila kitu kitakuwa Bomba