MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Mhmm when a woman is fed up!
JF bana...huyu Super Luimbo anaweza akawa ndo Klorokwini na nyi msijue. Wenyewe mnajipinda kutoa ushauri huku yeye akiangua vicheko tu huku akiwachora!
KANUSHO: Sisemi Super Luimbo ndiyo Klorokwini.
Lol, ila mwandiko wake haufanani na wa klorokwini...JF bana...huyu Super Luimbo anaweza akawa ndo Klorokwini na nyi msijue. Wenyewe mnajipinda kutoa ushauri huku yeye akiangua vicheko tu huku akiwachora!
KANUSHO: Sisemi Super Luimbo ndiyo Klorokwini.
alipomaliza kusema hayo alibeba mtoto na kuniaga kuwa anaenda na kuniambia kila nilichochuma naye ameniachia kama zawadi, ni miezi imeisha nateseka sana sioni mke wl mtoto nimeenda kuomba msamaha amekataa kurudi, nimetuma washenga waniombee amekataa kurudi nyumbani, ndugu jamaa na marafiki wamemsihi arudi kwake amekataa katakata, NAOMBENI MNISAIDIE NANYIE KWANI NIMEGUNDUA KUWA MKE WANGU ALINIPENDA TOKA MOYONI NA SITAKAA NIPATE MKE KAMA YEYE TENA. NISAIDIENI~ ~.
Duuu! Sasa kama ulimtusi na kumfukuza nini kimekufanya uone atakufaa kwa sasa? Isijekuwa umeishiwa ndio mana umemkumbuka...YES YUPO JF NA ALISHAWAHI KUANZISHA UZI WENYE KICHWA CHA HABARI KM SIKOSEI NI"SIKUJUA KAMA KUNA SIKU NINGENYANYASWA HIVI" na alitumia id ya lonely heart
acha tumbona unatupa story nusu nusu; kipi kimekukuta mpaka umeanza kumkumbuka kama alivyonena.:juggle: