Ndg wanajamvi wote mm ni mwanachama mpya hapa JF niliyejiunga rasmi tarehe 19/12/13. Nimejiunga JF kwa lengo la mm kuchangia mawazo yangu katika ile Tanzania ninayotaka kuiona miaka 25 ijayo na kuendelea. Na pia kujifunza kutoka kwa wanajamvi wengine ili kuboresha uelewa wangu wa mambo kuhusu jamii na taifa letu kwa ujumla.
Ninaomba pia kutangaza mrengo wangu kuwa ni mwanachama mtiifu na mwaminifu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA. Sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine cha siasa na wala sitarajii kuwa hivyo MPAKA PALE CHAMA CHANGU CHADEMA kitakapowasaliti WATANZANIA.
Ninaomba pia kutangaza mrengo wangu kuwa ni mwanachama mtiifu na mwaminifu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA. Sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine cha siasa na wala sitarajii kuwa hivyo MPAKA PALE CHAMA CHANGU CHADEMA kitakapowasaliti WATANZANIA.