Nawaleteeni jambo langu hili wanajukwaa

Nawaleteeni jambo langu hili wanajukwaa

Wakuperuzi

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2023
Posts
2,844
Reaction score
6,692
Habari za asubuhi wanajukwaa!

Iko wazi kwamba jukwaa limebeba watu tofauti ktk kila nyanja. Naleta jambo langu jukwaani nione uwezekano wa kupata ufumbuzi.

Kuamkia nyumbani halafu ukashinda tena nyumbani bila kuwa na mpango wowote siku nzima hakika inachosha sana jumlisha majukumu ya familia, kwahiyo kama yupo mwanajukwaa yoyote anayeweza kufanya jambo ikapatikana hta sehemu ya kujishikiza Niko tayari kwa shughuli yoyote ile ya kiume.

Nawasilisha na niwatakieni majukumu mema
 
Kwetu ni kijijini sana, na nilibahatika kusomeshwa na Ba mkubwa huko mjini.

Hivyo kuja kwangu mjini ilikuwa kusoma tu baada ya hapo nilitakiwa kurudi bush.
Nilivyomaliza form four niliwaza sana je nirudi kijijini? Ni nikienda huko naenda kufanya nini? Akili ikagoma kabisa.

Nilikuwa nikiamka Asubuhi napotea hapo nilipokuwa nimefadhiliwa nazunguka tu hovyo mjini, nikiona mlango wa kampuni ambao nahisi naumudu, nazama ndani, nauliza chochote kinachokuja kichwani.

Nakumbuka nilizama coca-cola, nikamwambia natafta banda la kuuzia soda, wakaniambia meneja hayupo labda uje kesho, ndio ikawa story ya Kila siku nikienda hayupo..
Nilifanya Ile nenda Rudi kwa week mbili..week ya tatu nikambahatisha, wapambe wakamwambia huyu dogo Kila siku anakutafta.

Meneja hakuwa na baya akaniuliza unashida Gani; akili ikaja ya ghafla Nimwambie natafta kazi. Kweli nikamwambia natafta kazi, akajibu kwa Sasa hamna kazi lakini acha namba yako ya Simu ikipatikana tutakutafta.

Nilitoka kinyonge sana, nikaendelea kuzunguka mjini, home narudi jioni sana.

Baada Kama mwezi nikaona napigiwa Simu na namba ngeni; kupokea nashangaa anajitambuliaha ni yule meneja wa coca-cola, akaniambia kesho njoo ofisini uanze kazi.
Nilifurahi sana ingawa sikujua ni kazi Gani, kesho yake nilivyoenda kweli kwa elimu yangu ya wakati huo, nilipata kazi ya kukagua wateja na kuhakikisha sokoni Kuna product ya kutosha kampuni.

Nilienjoy sana, nikajuana na watu wengi na ndio safari yangu ya kuanza kuwa mafanya kazi.

Mkuu usipende kuamka nyumbani na kushinda nyumbani, toka nenda katafte, riziki itakufata huko huko.
 
Kwetu ni kijijini sana, na nilibahatika kusomeshwa na Ba mkubwa huko mjini.

Hivyo kuja kwangu mjini ilikuwa kusoma tu baada ya hapo nilitakiwa kurudi bush.
Nilivyomaliza form four niliwaza sana je nirudi kijijini? Ni nikienda huko naenda kufanya nini? Akili ikagoma kabisa.

Nilikuwa nikiamka Asubuhi napotea hapo nilipokuwa nimefadhiliwa nazunguka tu hovyo mjini, nikiona mlango wa kampuni ambao nahisi naumudu, nazama ndani, nauliza chochote kinachokuja kichwani.

Nakumbuka nilizama coca-cola, nikamwambia natafta banda la kuuzia soda, wakaniambia meneja hayupo labda uje kesho, ndio ikawa story ya Kila siku nikienda hayupo..
Nilifanya Ile nenda Rudi kwa week mbili..week ya tatu nikambahatisha, wapambe wakamwambia huyu dogo Kila siku anakutafta.

Meneja hakuwa na baya akaniuliza unashida Gani; akili ikaja ya ghafla Nimwambie natafta kazi. Kweli nikamwambia natafta kazi, akajibu kwa Sasa hamna kazi lakini acha namba yako ya Simu ikipatikana tutakutafta.

Nilitoka kinyonge sana, nikaendelea kuzunguka mjini, home narudi jioni sana.

Baada Kama mwezi nikaona napigiwa Simu na namba ngeni; kupokea nashangaa anajitambuliaha ni yule meneja wa coca-cola, akaniambia kesho njoo ofisini uanze kazi.
Nilifurahi sana ingawa sikujua ni kazi Gani, kesho yake nilivyoenda kweli kwa elimu yangu ya wakati huo, nilipata kazi ya kukagua wateja na kuhakikisha sokoni Kuna product ya kutosha kampuni.

Nilienjoy sana, nikajuana na watu wengi na ndio safari yangu ya kuanza kuwa mafanya kazi.

Mkuu usipende kuamka nyumbani na kushinda nyumbani, toka nenda katafte, riziki itakufata huko huko.
Kujiamini kunasaidia wengi , wewe ulikua unajiamini, huogopi na unaweza kujitetea.
 
Kwetu ni kijijini sana, na nilibahatika kusomeshwa na Ba mkubwa huko mjini.

Hivyo kuja kwangu mjini ilikuwa kusoma tu baada ya hapo nilitakiwa kurudi bush.
Nilivyomaliza form four niliwaza sana je nirudi kijijini? Ni nikienda huko naenda kufanya nini? Akili ikagoma kabisa.

Nilikuwa nikiamka Asubuhi napotea hapo nilipokuwa nimefadhiliwa nazunguka tu hovyo mjini, nikiona mlango wa kampuni ambao nahisi naumudu, nazama ndani, nauliza chochote kinachokuja kichwani.

Nakumbuka nilizama coca-cola, nikamwambia natafta banda la kuuzia soda, wakaniambia meneja hayupo labda uje kesho, ndio ikawa story ya Kila siku nikienda hayupo..
Nilifanya Ile nenda Rudi kwa week mbili..week ya tatu nikambahatisha, wapambe wakamwambia huyu dogo Kila siku anakutafta.

Meneja hakuwa na baya akaniuliza unashida Gani; akili ikaja ya ghafla Nimwambie natafta kazi. Kweli nikamwambia natafta kazi, akajibu kwa Sasa hamna kazi lakini acha namba yako ya Simu ikipatikana tutakutafta.

Nilitoka kinyonge sana, nikaendelea kuzunguka mjini, home narudi jioni sana.

Baada Kama mwezi nikaona napigiwa Simu na namba ngeni; kupokea nashangaa anajitambuliaha ni yule meneja wa coca-cola, akaniambia kesho njoo ofisini uanze kazi.
Nilifurahi sana ingawa sikujua ni kazi Gani, kesho yake nilivyoenda kweli kwa elimu yangu ya wakati huo, nilipata kazi ya kukagua wateja na kuhakikisha sokoni Kuna product ya kutosha kampuni.

Nilienjoy sana, nikajuana na watu wengi na ndio safari yangu ya kuanza kuwa mafanya kazi.

Mkuu usipende kuamka nyumbani na kushinda nyumbani, toka nenda katafte, riziki itakufata huko huko.
Shukurani mkuu na uko sahihi hili neno kuamkia na kushinda nyumbn ni tafsiri ya kutokuwa na kitu cha uhakika cha kufanya lkn natembeq sema siku hizi si km zamani yale maeneo rahisi kuvuna vbarua km viwandani wengi wamebadilisha utartibu wa kuwa na vbarua wao.
Siku hizi wanatoa zaidi tenda kwa kampuni na sio kiwanda kuwa na vbarua wake km zamani
 
Shukurani mkuu na uko sahihi hili neno kuamkia na kushinda nyumbn ni tafsiri ya kutokuwa na kitu cha uhakika cha kufanya lkn natembeq sema siku hizi si km zamani yale maeneo rahisi kuvuna vbarua km viwandani wengi wamebadilisha utartibu wa kuwa na vbarua wao.
Siku hizi wanatoa zaidi tenda kwa kampuni na sio kiwanda kuwa na vbarua wake km zamani
Mungu atakusaidia mkuu, uzuri unaonesha Nia ya kupambana, wenye fursa watakuona.

Usiache kumwamini Mungu na kumuomba kwa Imani, muda ambao uko idle, Fanya kazi ya Mungu naye atakukumbuka.
 
Naelewa hali unayopitia...

Pambana wala usikate Tamaa.

Kuna vitu ukiviweka ktk dimension flan unakosa majibu, unakuw na stress, afya inashuka kiwango, kila mtu unamuona ni adui..
 
Naelewa hali unayopitia...

Pambana wala usikate Tamaa.

Kuna vitu ukiviweka ktk dimension flan unakosa majibu, unakuw na stress, afya inashuka kiwango, kila mtu unamuona ni adui..
Uko sahihi mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom