Nawakumbusha tena wanaume tutafute pesa

Nawakumbusha tena wanaume tutafute pesa

Wakuu tuache mbamba

Mademu wazuri kuwala ni pesa sasa usijifanye unalia lia tu hapa wakati kinachotakiwa ni pesa.

Pesa pesa pesa pesa pesa pesa

Shauri yako kama unatafuta vipesa unahonga.

Wewe tafuta pesa wao watakuja wenyewe acha pesa iongee mzee na siyo wewe uongee au kunyanyua kinywa chako.

Wewe ni wa kusema yes au no.
Maneno mengi tupa kule, pressure tupa kule.......

Nawakumbusha tu wakuu vyura ni vingi vyupi ni vyote shida pesa.
Duh unatafuta pesa ili ukatom.b.e??

Taifa lina vijana wa hovyo sana ,nchi hii kupiga hatua itachukua muda sana kama vijana wenyewe wanaotegemewa mawazo yao wanayoyawaza ni haya.
 
Watu wanadhani nimesema ni kutafuta pesa kwa ajili ya kutomb????
Masela wanahangaika na videmu kila saa kujeuza shingo afu amna kitu. Wanaumia moyoni......
Sasa dawa iliyopo ni kutafuta pesa ule vizuri.
 
Wakuu tuache mbamba

Mademu wazuri kuwala ni pesa sasa usijifanye unalia lia tu hapa wakati kinachotakiwa ni pesa.

Pesa pesa pesa pesa pesa pesa

Shauri yako kama unatafuta vipesa unahonga.

Wewe tafuta pesa wao watakuja wenyewe acha pesa iongee mzee na siyo wewe uongee au kunyanyua kinywa chako.

Wewe ni wa kusema yes au no.
Maneno mengi tupa kule, pressure tupa kule.......

Nawakumbusha tu wakuu vyura ni vingi vyupi ni vyote shida pesa.
Sasa utamlaje bila kuhonga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom