Nawakumbusha Serikali watu hawatavumilia njaa majumbani kwa vitisho vya risasi

Nawakumbusha Serikali watu hawatavumilia njaa majumbani kwa vitisho vya risasi

Mawele

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2023
Posts
353
Reaction score
1,037
Kufuatia sintofahamu ya kupiga mabomu na risasi kwenye mitaa na kuwatishia watu wasitembee maduka na magenge yamefungwa

Watu wanakula akiba ya chakula kilichokuwa nyumbani, kikiisha nawahakikishia watu hawatavumilia njaa, hawatakubali kufa kwa njaa watakuja mitaani bora muwauwe kwa risasi

Ndipo kundi kubwa zaidi litaingia mtaani kupambania uhai wao wapate chochote, ni bora mkubali yaishe sasa kabla hali haijawa mbaya.

Hata hao Polisi watawageuka familia zao zikikosa kibaba cha unga ndani, mtapigana risasi huko huko
 
Kufuatia sintofahamu ya kupiga mabomu na risasi kwenye mitaa na kuwatishia watu wasitembee maduka na magenge yamefungwa

Watu wanakula akiba ya chakula kilichokuwa nyumbani, kikiisha nawahakikishia watu hawatavumilia njaa, hawatakubali kufa kwa njaa watakuja mitaani bora muwauwe kwa risasi

Ndipo kundi kubwa zaidi litaingia mtaani kupambania uhai wao wapate chochote, ni bora mkubali yaishe sasa kabla hali haijawa mbaya.

Hata hao Polisi watawageuka familia zao zikikosa kibaba cha unga ndani, mtapigana risasi huko huko
Hii imekaa poa sana...landa watakusikia...
 
Hili ndio linalofuata na ni hatari zaidi ya hizi siasa
 
Kufuatia sintofahamu ya kupiga mabomu na risasi kwenye mitaa na kuwatishia watu wasitembee maduka na magenge yamefungwa

Watu wanakula akiba ya chakula kilichokuwa nyumbani, kikiisha nawahakikishia watu hawatavumilia njaa, hawatakubali kufa kwa njaa watakuja mitaani bora muwauwe kwa risasi

Ndipo kundi kubwa zaidi litaingia mtaani kupambania uhai wao wapate chochote, ni bora mkubali yaishe sasa kabla hali haijawa mbaya.

Hata hao Polisi watawageuka familia zao zikikosa kibaba cha unga ndani, mtapigana risasi huko huko
.
 
Back
Top Bottom