haszu
JF-Expert Member
- Oct 10, 2017
- 1,486
- 3,564
- Thread starter
- #41
Unaelewa maana ya kukubali au unajifanya mjuaji sana? Acha shobo utasutwa mtoto wa kiume.Mkuu wewe ni Mwanaume ? Kama ni ndio, tumia lugha ya uanaume kuelezea Hisia zako .
Kwa mfano.... "Jamaa wenye six packs Wana consistency ya hatari kwenye mazoezi".
Hii yako ya "Nawakubali sana wanaume wenye six pack" ....inatia ukakasi