Nawafanyia application za chuo wanafunzi

hapana simuombei chuo tofauti.

Ni tunashauriana na huyo mwanafunzi aseme kozi gani, chuo gano anataka then namfanyia application.
 
watu muendee kuleta kazi, zinaendelea kufanywa kwa umakini wa hali ya juu.

N.B nimegundua wanafunzi wengi waliosoma PCB na CBG halafu wakapata division 2 au 3 wanapanikishwa wakasome diploma

Waje tushauriane.
 
watu muendee kuleta kazi, zinaendelea kufanywa kwa umakini wa hali ya juu.

N.B nimegundua wanafunzi wengi waliosoma PCB na CBG halafu wakapata division 2 au 3 wanapanikishwa wakasome diploma

Waje tushauriane.
Mimi udom inazengua, niliomba last yr nkakosa. Nikiomba mwaka huu wananambia nilishajisajili half nkiweka password inagoma. Nimereset pia more than 20 times ila inagoma
 
Mh!!!! haya. Msijelia baadaye kuwa mmetapeliwa. Jamaa kajiunga JF juzi tu July 20, 2018. Lengo lake ni nini hasa?
 
Hivi unapoomba certificate ya ualimu kuna kiambatanisho chochote unakiweka?Na kama hamna ni taarifa zipi muhimu zinatakiwa?
 
mkuu samahani nipo namuapplyia dogo sua but nikiweka username na password vipi napata reference no
 
Na je unaweza omba vyuo viwili Kwanza then baada ya muda ukaongezea tena vingine?
 
mkuu acha kuchafua watu, mi simjui ila nimempa madogo wawili na hakuna hata mmoja aliyelalamika
 
Mkuu msaada maana nahisi kukwama kwa sua...sipate invoce number ya malipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…