inakuaje mwanaume unamuheshimu, unampenda,unamthamini unamjali na hajawahi kukuta na mwanaume tofauti wala sms kwenye cm yako lakin unakuja kugundua anakucheat i think kuna baathi ya wanaume wanamapepo ya ngono hawalizikagi jitu linaumri wa kufanya mandeleo lenyewe linapata mda wa kumtongoza mtu mxxuuii...jamn kuna wakati wanatulaum wanawake lakin jmn kuna wanaume vimeo cjawahi kuona duuh
According to maelezo yake, hata kama ana mapungufu yake ( no one is perfect), she seems to be a good girl
inakuaje mwanaume unamuheshimu, unampenda,unamthamini unamjali na hajawahi kukuta na mwanaume tofauti wala sms kwenye cm yako lakin unakuja kugundua anakucheat i think kuna baathi ya wanaume wanamapepo ya ngono hawalizikagi jitu linaumri wa kufanya mandeleo lenyewe linapata mda wa kumtongoza mtu mxxuuii...jamn kuna wakati wanatulaum wanawake lakin jmn kuna wanaume vimeo cjawahi kuona duuh
Weeee there is no justification for cheating. Na siamini kwamba Kila mwanaume anayecheat ni kwa sababu mwanamke kakosea. Mahusiano kama hayaendi unavyotaka basi toka, usicheat. Na kuna wanaume hata akidate malaika atamcheat tu. Afu sielewagi mnavyoconclude kuwa mwanaume akicheat tu, basi mwanamke ndo kakosea, nyie kwenye mahusiano hamkoseagi? Ni malaika nyie?Maneno Yake yasikufanye Ukampa sifa zote Inawezekana Ana matatizo tena makubwa. Mwanaume hawezi kukurupuka tu
According to maelezo yake, hata kama ana mapungufu yake ( no one is perfect), she seems to be a good girl
Pole, ila kuna sababu inayomfanya achepuke...sio bure.
Pia umeongelea upande wako tu,labda naye ana malamiko yake.
interesting....una mpango wa ku revenge tukusaidie?
Na kwa nini nisiamini labda? Mwisho wa siku yeye ndo anayejua ukweli. What I insisted ni yeye abaki tu kuwa "good girl" na asidhani kwamba wanaume wote ni sawa, basiAiseeeeee
yani wewe una amini maneno ?
dyudyu project?Tumchukue kwa le project....:smokin:
kaku cheat sawa but sababu ya ku cheat ni nini? unaweza ukawa haujamcheat ka ulivosema lakini kuna mambo mengine behind ya cheating na betraying,, afu izo tabia za kulilia mapenzi ni za kitoto kabisa huwezi sema unawachukia wanaume kisa uyo bwana ako ka ku cheat, afu ni bora pengo kuliko jino bovu, kucheat na kusepa kwake inaweza kua njia ya wewe kupata mwingine much better than him
"when one door closed another door opened- bob marley
Nazeeka now....fursa zinanipita tu....hii ni fursa kabisa