cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
Bora madr kwa upande wangu! Mapolisi na matrafic nikikuta wanauwawa nitachangia kupiga jiwe, nawachikia kupita maelezo, wanapenda rushwaaaaaaa, lakini wachafuuuuuu, tena hawana maisha, kutwa kutuambia kila kosa faini ni sh 30,000! Ndilo hilo tu wanalojua kusema, wanadhani tunaokota, sasa ukimuambia sina, bilka aibu utasikia leta nusu yake, sishuki zaidi ya hapo, hapo kakukamata kwedikwazu! Puuuuuuu nawatema!