Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,545
Ndugu zangu watanzania,
Hii nchi sio ya Ndugai wala Wabunge, hii nchi ni yetu sote sisi na watoto wetu.
Kumbukeni hatuna sehemu duniani ila hapa Tanzania.
Huu ujenzi wa bandari hii ni kujifunga na kuuza nchi yetu kwa mataifa mengine. Hebu fikirieni kuna nchi mpaka sasa zimekabwa mashirika yao kama fidia ya mikopo mikubwa waliokopa.
Sisi hatutaki kwenda huko...tumeoneshwa njia hebu tuifate. Mifano ipo mingi sana angalia nchi ya Zambia, na SriLanka wanachopotia sasa.
Tuandamaneni mitandaoni na kwa wajasiri tuingie hata barabarani kupinga kuuzwa kwa aridhi yetu kinyemela.
Maandamano yawe ya amani tusivuruge tunu ya amani.
Niwatakie siku njema wazalendo wote.
Hii nchi sio ya Ndugai wala Wabunge, hii nchi ni yetu sote sisi na watoto wetu.
Kumbukeni hatuna sehemu duniani ila hapa Tanzania.
Huu ujenzi wa bandari hii ni kujifunga na kuuza nchi yetu kwa mataifa mengine. Hebu fikirieni kuna nchi mpaka sasa zimekabwa mashirika yao kama fidia ya mikopo mikubwa waliokopa.
Sisi hatutaki kwenda huko...tumeoneshwa njia hebu tuifate. Mifano ipo mingi sana angalia nchi ya Zambia, na SriLanka wanachopotia sasa.
Tuandamaneni mitandaoni na kwa wajasiri tuingie hata barabarani kupinga kuuzwa kwa aridhi yetu kinyemela.
Maandamano yawe ya amani tusivuruge tunu ya amani.
Niwatakie siku njema wazalendo wote.