Navunja ndoa ya mtu!!!!


point taken unajua huyo mmewe ni lazima afikili hivyo kutokana na yeye alitoka safari hapo msimlaumu jamaa yee hawezi ona ukweli kwa jinsi situation ilivyo.
 
Yani bado nahasira n wewe halafu unakuja kunitangaza huku eeh?

Mimi unanionea bure sina mahusiano ya kimapenzi na mkeo, ninachokuomba ni unisamehe kwa ile Call iliyopigwa kimakosa na mtoto
 
Kuna Baadhi Ya Watu Husema Wanaume Sometimes Huwa Chanzo Kwa wake / Partner Wao Kucheat, Simply Because Wamekuwa Wakituhumiwa sana Kuwa Si Waaminifu Kitu Ambacho Si Kweli.
 
Wanaume bana kama vp aende ata ofs za tigo voda akafatilie call zake na zawko.kam kuna ukweli
 
Ila inaniumiza sana, nimejifunza kitu kikubwa sana hya mambo ya wivu

Pole aise. Ushauri wa kukata mawasiliano naye kwa muda alioutoa mjumbe ninauunga mkomo asilimia zote.
Kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho.
 

Mh mbona umemtuhumu hvo wkt hajesema km yeye ni bos wake ni mfanyakaz mwenzake na huwa anamuachia kaz zake amfanyie akienda kwenye mambo ya kijamii!
Naona km ume2nga thread yako halafu umeassume sana badala ya kujib au kutoa ushauri kwa mujibu wa mtoa mada!
Wakina dada walioolewa maofisin walio weng wanabebwa kwa stail hii kwan wanamajukumu mengi ya kifamilia!
Kaa ukijua si kila mtu anasimu ya ofcn na co kila ofic inatoa cm au inatoa cmu kwa kila mfanyakaz!
Sion hayo unayomsema huyu kaka!
 

Angekataa kumfanyia huyu dada kaz zake angeenda kumpokea mumewe Airport!?
Angeacha kuzfanya kwa sababu kuna vitu havielewi na kuogopa kuwasiliana na huyu mama kesho arud ofisin akute km alivoiacha,ingekua ni bora zaid kwa mtazamo wenu?
Na km ni daily report ambayo lazima itumwe everyday je angesema nin huyu dada kwa bos wao kesho kazin?
Inawezekana hamjakutana na hii hal bado!
 
wewe unaelezwa ukweli lakini mbishi. Unaambiwa acha kuzoea kuwasiliana nasi mara kwa mara tulioolewa kaka ni hatari

Basi na nyie kuwen tayar kubeba mizigo yenu yote co mnataka msaidiwe kaz muweze attend family issue zenu kuwarithisha waume zenu visiran halafu shukuran ndo hii kuwaingza watu kwenye matatizo yasowahusu!
Utasikia "ooh naomba unsaidie kumalizia hapa nawah kujiandaa na mtoko na shemejio" asa huku nyuma mtu kakwama likaz ni lako asikutxt au kukupigia?anachelewa kuiwah familia yake kwa huruma yake tu anakusaidia kumaliza mikaz yako mpk saa 3 za usiku akikupigia cmu kwa manufaa yako amekosea!
Akina kaka wakiamua kuacha kuwasaidia kina dada maofisin weng hasa wenye waume visiran km wa huyu dada wataacha kaz au wataachika mana kila siku utachelewa kurud na hata huo mda wa kwenda mpokea mumeo airpot hautaupata!
 
Looh!! makubwa haya

Hata mim hili nimelishangaa mama angu husema "MUME/MKE WA KWANZA NI KAZI YAKO"
kwa mujibu wa huu hata iweje usiache kaz yako ambao ndo urith walokupa wazaz wako kupitia elimu kisa kumrithisha mwenz wako naye anapaswa kuithamin na kuishem kaz yako na wewe vile vile!
 

Inategemeana na kazi mkuu wengine kazi zetu hazilali na ukilaza jua kuna vitu kibao havifanyk na km ni Internationa Org ndo balaa mana unaweza kwamisha nchi kibao na ni bonge la msala ucpokuwa na sabab ya kueleweka na hukutoa taarifa inakula kwako mazma!
 
siwezi toa ushauri hapa maana nimesikiliza upende mmoja tu!
lakin vile vile hadi mtoto achezee sim na ikajipiga kuna kitu hapa nahisi mtoto alienda kwenye kitufe cha kupiga simu ambapo unaweza kukutana na sim zilizopigwa, naye kabonyeza pale sim ikajipiga! km mazingira ndo hayo inaonesha ulikuwa umeongea na huyo mke wa jamaa mda mfupi ulopita! mliongea nini? cheza mbali na ndoa ya mtu!
 
Angekuwa ni mtu mwenye busara angekubari nionane naye tuzungumze, nijuavyo mimi mtu anaweza akakumegea na hata ukimgundua anaendeleza jeuri hilo hajalifahamu, labda anasababu zake zingine

Mwachie mkewe amweleze. Wewe ili mradi umeshajaribu kuongea naye akawa anakataa na hasira zake bado ziko juu, ukiendelea kutaka kuongea naye utakuwa unamtibua zaidi. Pia, kosa si lako wala la mkewe, ni tatizo la mumewe kuwa na wivu uliopitiliza. Kuna wanaume wagumu sana, hawaamini kabisa mahusiano yanaweza kuishia kuwa ya kikazi peke yake.
 

Angalia pia isilete shida kwenye ndoa yako, mkeo analijua hili?
 
huyo bwana ni mbumbumbu wa mapenzi, huyo ni mzinzi akidhani na mkwewe ndivyo alivyo, yaani mwizi huwaza kiwizi tu
 
Ndugu achana na mke wa mtu. Tunaweza ila nyie mnataka kujionyesha ufahari kuwa mko juu na mnaona fahari kutusaidia. Acha kabisa kutafuta ufahari. Mke wa mtu sumu
 
Mimi unanionea bure sina
mahusiano ya kimapenzi na mkeo, ninachokuomba ni unisamehe kwa ile Call
iliyopigwa kimakosa na mtoto

Mvaa Tai, we ngoja upigwe ndo akili zitakuja.Inavyoonyesha kuna vitu unatuficha! haiwezekani namba ya mtu ambaye huna mawasiliano ya mara kwa mara ikawa juu juu namna hiyo! we unamgongea umelikoroga ngoja ulinywe!
 
Last edited by a moderator:
Mimi unanionea bure sina
mahusiano ya kimapenzi na mkeo, ninachokuomba ni unisamehe kwa ile Call
iliyopigwa kimakosa na mtoto

Mvaa Tai, we ngoja upigwe ndo akili zitakuja.Inavyoonyesha kuna vitu unatuficha! haiwezekani namba ya mtu ambaye huna mawasiliano ya mara kwa mara ikawa juu juu namna hiyo! we unamgongea umelikoroga ngoja ulinywe!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…