Nauza XBox One, nipo Arusha

bucho

JF-Expert Member
Jul 13, 2010
5,113
3,117
Natafuta mteja wa kumuuliza Xbox One, nipo Arusha . Ina memory ya 500gb pia ina inakuja na pads zake mbili na games tatu. Bei ni 550,000 ila inapungua kdg.

Kwa maelezo zaidi njoo PM.
 

Attachments

  • IMG-20191122-WA0074.jpg
    IMG-20191122-WA0074.jpg
    46.5 KB · Views: 5
Back
Top Bottom