Kijijini kwenu labda
Mkuu ni kweli kwanini nidanganye??
Ebhana wee acha tu siwezi jaribu.Nilivuna tikiti kiasi cha kutosha tu.Nikapata mteja kwa 3000@ yakiwa shamba bila kujali kubwa wala dogo.Nikaingia tamaa ya pesa nyingi mana waliniambia Dar kwa makubwa yanafika hata mpaka 7000@.Nikakodi Gar kilichonikuta ni AibuUsithubutu kuleta mjini kwa madalali. Ni bora viozee shamba.
Ebhana wee acha tu siwezi jaribu.Nilivuna tikiti kiasi cha kutosha tu.Nikapata mteja kwa 3000@ yakiwa shamba bila kujali kubwa wala dogo.Nikaingia tamaa ya pesa nyingi mana waliniambia Dar kwa makubwa yanafika hata mpaka 7000@.Nikakodi Gar kilichonikuta ni Aibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilimo kina changamoto sana.Kuna watu hapo dar ni wataalam balaa.Akilipiga tu anakwambia bichi ama bovu.Na ukibisha wanalikata na kweli bichi.Walizipembua balaa na bahati mbaya nafika nakuta mzigo wa tikiti umemwagika balaa.So Tikiti kubwa niliuza 2000tsh ziko ambazo niliuza hadi jero.
Hahahahahahha dah mkuu umenichekesha sana uliona bora ule bia tu .. kitunguu kimetulia utapata mtejaKilimo kina changamoto sana.Kuna watu hapo dar ni wataalam balaa.Akilipiga tu anakwambia bichi ama bovu.Na ukibisha wanalikata na kweli bichi.Walizipembua balaa na bahati mbaya nafika nakuta mzigo wa tikiti umemwagika balaa.So Tikiti kubwa niliuza 2000tsh ziko ambazo niliuza hadi jero.
Kwa Haikufika hata laki9.Kwa hasira nakaweka pesa yangu takoni nikaangia bar nikagonga bia siku kadhaa mpaka ikaisha nikarudi mikono mitupu nikaanza moja..
Sent using Jamii Forums mobile app
ASANTE.ndo hivo aiseeHahahahahahha dah mkuu umenichekesha sana uliona bora ule bia tu .. kitunguu kimetulia utapata mteja
Kilimo kina changamoto sana.Kuna watu hapo dar ni wataalam balaa.Akilipiga tu anakwambia bichi ama bovu.Na ukibisha wanalikata na kweli bichi.Walizipembua balaa na bahati mbaya nafika nakuta mzigo wa tikiti umemwagika balaa.So Tikiti kubwa niliuza 2000tsh ziko ambazo niliuza hadi jero.
Kwa Haikufika hata laki9.Kwa hasira nakaweka pesa yangu takoni nikaangia bar nikagonga bia siku kadhaa mpaka ikaisha nikarudi mikono mitupu nikaanza moja..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hivo chiefnacheka huku nimeinama.
Haya sasa waingize ujuaji wao na kwenye vitunguu.