Aventus
JF-Expert Member
- Mar 8, 2013
- 1,914
- 1,977
Mambo vip?
Nina vitunguu maji zaidi ya gunia 80. Viko shamba Morogoro, Kijiji cha Msowelo. Nitauza kila gunia Tsh. 80000 tu.
Sina mpango wa kuleta mjini wala Dar sababu yalinikuta makubwa nilipoleta tikiti. Kwa mawasiliano 0718906602..
Nakaribisha na madalali pia wakague mzigo na watafute wateja
Asante
Nina vitunguu maji zaidi ya gunia 80. Viko shamba Morogoro, Kijiji cha Msowelo. Nitauza kila gunia Tsh. 80000 tu.
Sina mpango wa kuleta mjini wala Dar sababu yalinikuta makubwa nilipoleta tikiti. Kwa mawasiliano 0718906602..
Nakaribisha na madalali pia wakague mzigo na watafute wateja
Asante