uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,789
- 4,453
Nauza vifaranga vya sato 250 kila kimoja.mbegu ya mwanza .ukuaji wake wa haraka.npo bagamoyo.maelezo zaidi pm
Okey naweka picha soon.asante kwa ushauriTangazo bila hata picha ni kumpotezea hamasa mteja kukutafuta, picha ujiuza zaidi kuliko maneno matupu, unaweza sema sato kumbe kamongo lakni kama mteja ataona picha inakupunguzia wewe maswali kutoka kwa wateja. Sisemi uweke picha ya samaki wote, lakini sample inakuwa poa zaidi.
Tayar mkuuWeka pichaa
Tayari mkuuTupia picha mkuu
Tayari mkuu
Tayari mkuuMkuu km kunauwezekano tupia picha
Kabisa Mkuu mbegu ya mwanza.haswa msimu huu wa mvuaAsante mkuu wanakuwa V zur maeneo ya Baridi mfano iringa,njombe?
MawasilianoNauza vifaranga vya Samaki kambale na sato.napatikana dar ees salaam.sato 250.kambale 500
Hivi sio vifaranga ivyo ni sato wakubwa kabisa
Sasa best mawasiliano muhimu than location your live aroundNauza vifaranga vya Samaki kambale na sato.napatikana dar ees salaam.sato 250.kambale 500
Na mimi nimeshangaa! Mbona hawako kwenye maji?Hivi sio vifaranga ivyo ni sato wakubwa kabisa