MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,084
Kuchi wapo aina nying mkuu. Mimi pia ninao aina kama yako hiyo nauza jogoo sh 30,000. Kifaranga buku 5
hahah sawa sawa
Kuchi wapo aina nying mkuu. Mimi pia ninao aina kama yako hiyo nauza jogoo sh 30,000. Kifaranga buku 5
Unapatikana wapi Mr.Kibuyu ?Kuchi wapo aina nying mkuu. Mimi pia ninao aina kama yako hiyo nauza jogoo sh 30,000. Kifaranga buku 5
Mifugo ipo pugu. Naishi bokoUnapatikana wapi Mr.Kibuyu ?
Unapatikana vipi mkuu kwa siku kama ya kesho?Mifugo ipo pugu. Naishi boko
Kunguru au mwewe?Mara paah,nimenunua kifaranga halafu kunguru kakiiba. Nitamkimbiza popote atakapoelekea hata kama nitamkosa kifaranga,nahakikisha namuua huyo kunguru
hao ni mbuzi kuchi mkuuHaha...acheni masihara nyinyi...hao watakua sio kuku bac
HahahahhahahahahahahahahahNauza mayai ya kware, moja 5000
[emoji3] [emoji3] kunguru utamshikaje kashapaaMara paah,nimenunua kifaranga halafu kunguru kakiiba. Nitamkimbiza popote atakapoelekea hata kama nitamkosa kifaranga,nahakikisha namuua huyo kunguru
mkuu naweza pata vifaranga?Njoo sumbawanga nikuuzie kwa 25000 MKUBWA kifaranga 2000