Nauza Vifaranga vya Kuchi

Nauza Vifaranga vya Kuchi

kibuyu180

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2016
Posts
1,795
Reaction score
1,952
Napenda kuwasilimu wana Jf wenzangu. Ni jambo jema sana kumshukuru Mwenyezi MUNGU kwa afya na uhai.
Ninauza vifaranga vya kuku aina ya kuchi mdomo pini. Kuchi wenyewe kabisa sio hao wanaochanganywa na mbegu zingine.
Bei kwa kifaranga kuanzia cha siku 1 hadi siku 10 ni sh 50,000/=.
Wanapatikana hapa hapa dar eneo la Pugu.
NB: Pia ninazo aina zingine za kuchi.
Karibun sana, anayehitaji anichek PM.

Naweka picha ya hao kuchi mdomo pini
162eff64c9b6e675c462e30596f9bfbd.jpg
18e28d99eb8bd0c72df4c22b123cd35e.jpg
c704a22c297ee5992f2e0387cbd9a586.jpg
76d5611e72fa151735fbe96f3be316fd.jpg
 
Vp kuhusu idadi ya mayai kwenye utagaji. Pengine hii ikawa ndio sababu kubwa
 
Back
Top Bottom