Nauza Vifaranga vya Kuchi

Nauza Vifaranga vya Kuchi

Napenda kuwasilimu wana Jf wenzangu. Ni jambo jema sana kumshukuru Mwenyezi MUNGU kwa afya na uhai.
Ninauza vifaranga vya kuku aina ya kuchi mdomo pini. Kuchi wenyewe kabisa sio hao wanaochanganywa na mbegu zingine.
Bei kwa kifaranga kuanzia cha siku 1 hadi siku 10 ni sh 50,000/=.
Wanapatikana hapa hapa dar eneo la Pugu.
NB: Pia ninazo aina zingine za kuchi.
Karibun sana, anayehitaji anichek PM.

Naweka picha ya hao kuchi mdomo pini
162eff64c9b6e675c462e30596f9bfbd.jpg
18e28d99eb8bd0c72df4c22b123cd35e.jpg
c704a22c297ee5992f2e0387cbd9a586.jpg
76d5611e72fa151735fbe96f3be316fd.jpg
Njoo sumbawanga nikuuzie kwa 25000 MKUBWA kifaranga 2000
 
Hivi hawa kuku huwa wanaatamia na kutotoa wenyewe pasipo msaada wa mashine
 
hahahaha samahani mtoa mada umenchosha nahyo bei!kuchi ni kuchi tu mie ninao sijawah waza kuuza dah we kweli kiboko! kwel wewe mjasiriamali wa kuchi!mie ndo kwanza naazimisha bure majogoo !dah!kila laheri
 
hahahaha samahani mtoa mada umenchosha nahyo bei!kuchi ni kuchi tu mie ninao sijawah waza kuuza dah we kweli kiboko! kwel wewe mjasiriamali wa kuchi!mie ndo kwanza naazimisha bure majogoo !dah!kila laheri
Naomba niuzie ndugu ,huyu jamaa bei yake ni maradufu
 
Kuchi wananyama nying ktk kuku asili(kienyeji). Pili ni urembo. Tatu wanatumika ktk mashindano ya kupiganisha kuku ktk macasino,
Kifaranga ndo 50k mkuu[emoji1] [emoji1] , hawa Kuku sijui kwann huwaga wana bei namna hii
 
Back
Top Bottom