Nauza Toyota Rav4 milango mitano - 7milion

Nauza Toyota Rav4 milango mitano - 7milion

Gari imepungua bei sasa nauza 6.5mil tu, if ur interest just pm me.

This is a fair price kwa wale wanaojua magari hasa ukizingatia kuwa hii ni Toyota RAV4 ambayo inaonekana bado iko katika hali nzuri. Nitashangaa kama hutapata mnunuzi katika siku tatu zijazo.
 
Hiyo gari ngumu sana, nazijua hizo yani hapo ni mkataba mkuu. Ni vile tu sipo huko home I would have bought it seriously ningepeleka bush home.

Usiiuze chini ya 6m aisee bonge la gari hilo hata kama ina kilometa laki 5
Hii gari imeshapakwa rangi sana
 
Hii gari imeshapakwa rangi sana

Mkuu kinachofanya gari itembee ni injini tu hizo rangi ni mbwembwe na jua na chumvi chumvi ya bahari ya Dar lazima utapaka rangi gari tu
 
From inbox:
Muuzaji: hata nikiuza 1m unayo wewe ama unaleta kujitapa kwa bongo fleva?

Mimi: Mkuu sorry! Naona hukuniewa kabisa,naomba usome tena ndipo uje hapa. Wala sikumasnisha vby na hujanitendea haki kbs!

After all pitia matangazo ya magari nimeuza voxy T 625 CEK juzi tu m 12 na siishi hata huko Africa kwa sasa ndio mana sijanunua. I would have bought it na kupeleka kijijini mimi sijawahi wish kuendesha rav 4 hata siku 1.

Btw ninadhani ulisoma vby ukahisi nimekusanifu, please next time soma vzr kabla ya ku-attack mtu. Fuatilia comment yangu hapo chini kuna mtu kasema imepakwa rangi sana. Nimeitetea gari yako then unanijia inbox mkuu?
 
Please dont inbox me anymore, I wont dare to read n likely to revert ya texts
 
From inbox:
Muuzaji: hata nikiuza 1m unayo wewe ama unaleta kujitapa kwa bongo fleva?

Mimi: Mkuu sorry! Naona hukuniewa kabisa,naomba usome tena ndipo uje hapa. Wala sikumasnisha vby na hujanitendea haki kbs!

After all pitia matangazo ya magari nimeuza voxy T 625 CEK juzi tu m 12 na siishi hata huko Africa kwa sasa ndio mana sijanunua. I would have bought it na kupeleka kijijini mimi sijawahi wish kuendesha rav 4 hata siku 1.

Btw ninadhani ulisoma vby ukahisi nimekusanifu, please next time soma vzr kabla ya ku-attack mtu. Fuatilia comment yangu hapo chini kuna mtu kasema imepakwa rangi sana. Nimeitetea gari yako then unanijia inbox mkuu?

samahani mkuu sio mimi niliokuinbox na wala sina utaratibu huo kama ni mimi basi kuna mtu alihack account yangu samahani sana mkuu
 
samahani mkuu sio mimi niliokuinbox na wala sina utaratibu huo kama ni mimi basi kuna mtu alihack account yangu samahani sana mkuu

Ok sorry sana sikujua aisee samahani pia huyu bwana ana id ya Bribak! Just from nowhere ameni-attack thru this Rav 4
 
Last edited by a moderator:
nauza toyota rav 4 milango mitano tsh milion saba tu. If ur interesting just pm me.picha zinafata

Nafikiri unasubiri itoke gereji. Ndiyo utuwekee picha ila nimeshaiona. Tunasubiri picha other details na contact zako.
wrecked_porsche.jpg
 
Back
Top Bottom