barabara ya gari inafika hadi shamba. Umeme haujafika, halijapimwa ila lina vielelezo vya umiliki halali kutoka serikali ya mitaa na serikali ya kijiji . Cal me 0712769766
barabara ya gari inafika hadi shamba. Umeme haujafika, halijapimwa ila lina vielelezo vya umiliki halali kutoka serikali ya mitaa na serikali ya kijiji . Cal me 0712769766
Mkuu kwa vielelezo ulivyoweka unaweza usinivutie sana kununua shamba hilo, labda ungeeleza ni investment gani iliyofanyika katika shamba hilo hata ukapangabei hiyo. Ukiondoa ukaribu wa shamba hilo na funcity kuna kitu gani kingine cha kuongeza thamani ukizingatia kuwa halijapimwa na wala umeme haujafika?
ukilinganisha na ya nani@kanyagio?, @mwalwisi wewe c mnunuzi na nina uhakika hujui thamani ya ardhi ndo maana unalopoka wanjojua wamekuja na wengine wamenunua,@mizambwa hujielewi kwani unasikia na wala hujafanya jitihada za kujua mradi unaanzia wapi na kuishia wapi. Achen kudandia gari kwa mbele take time 2make analysis b4 u post
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.