Kisima
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 4,449
- 5,477
Nauhakika bei utakayouzia hiyo bike itakuwa ndogo zaidi ya bei ya kabureta.Sina uzoefu kwenye hilo ila ukishainunua nakushauri uipeleke kkoo pale hukosi spea, niliambiwa haizidi laki 1.
Kwa haraka tu hicho kifaa hakipungui sh250k. Labda umpate fundi afanye bodification lau apachike ya bei chee.