Nauza ofisi ya kufanyia biashara

Nauza ofisi ya kufanyia biashara

ALLY RIYAMI

Senior Member
Joined
May 26, 2012
Posts
115
Reaction score
15
Naitwa ally nauza ofisi ambayo mwanzoni ilikuwa ni sehemu ya biashara ya kuuza vifaa vya simu,kuburn,kutengeneza cm na kuingiza nyimbo ktk cm,ofisi ipo tabata liwiti,ina computer,blower,feni,kiti,vifaa vyote kama housing na vya matengenezo,imelipiwa mpaka mwezi wa 11.kwa anaehitaji bei ni laki tano na nusu,550000.call me 0652740304
 
Naitwa ally nauza ofisi ambayo mwanzoni ilikuwa ni sehemu ya biashara ya kuuza vifaa vya simu,kuburn,kutengeneza cm na kuingiza nyimbo ktk cm,ofisi ipo tabata liwiti,ina computer,blower,feni,kiti,vifaa vyote kama housing na vya matengenezo,imelipiwa mpaka mwezi wa 11.kwa anaehitaji bei ni laki tano na nusu,550000.call me 0652740304

Vip mkuu hiyo office imepata mtu tayari??
 
Naitwa ally nauza ofisi ambayo mwanzoni ilikuwa ni sehemu ya biashara ya kuuza vifaa vya simu,kuburn,kutengeneza cm na kuingiza nyimbo ktk cm,ofisi ipo tabata liwiti,ina computer,blower,feni,kiti,vifaa vyote kama housing na vya matengenezo,imelipiwa mpaka mwezi wa 11.kwa anaehitaji bei ni laki tano na nusu,550000.call me 0652740304
Asante mkuu
 
Funguka vizuri kodi mwisho ni mwezi wa 11 je unauzavifaa au unapangisha kodi ya offisi shilingingapi? why kwanini uuze offisi uliopanga huoni kama unauza nyumbaya mtu lada niuzievifaa habari ya offisi niache niongee na mwenyenyumba mkuu? nikipata nafasi ntaitembelea hiyo offisi juma pili tare 13/7 mida ya jioni call 0766717965
 
Habarizenu wana jf kama kawaida tunazidi kusonga mbele.Mimi nina kipaji cha kutunga mashairi na tenzi zenye ujumbemzito, lugha mwanana yenyemvuto kwa hathira ilio kusudiwa na zenye kuzingatia urali wa vina na mizani. Naomba wasaniichipukizi,waimbaji wa taarabu au anaye wezakuniajiri katika fani hii tuwasiliane kwa Email alexanda.kasomo@yahoo.com au NO: 0766717965/0688583311.
Mfano wa utenzi;

Elim kiingilio,
Wasomao si kilio,
Ajira si tabirio,
Vyeti viwe mthamini.
 
Back
Top Bottom