Nauza mkaa mbadala

Nauza mkaa mbadala

Joined
Jun 3, 2014
Posts
35
Reaction score
12
habari wana JF
nina mkaa mbadala kwa ajiri ya matumizi ya viwandani, mashureni, na majumbani,
mkaa huu natengeteza na maranda na mfinyanzi ni mzuri sana unakaa mda mref kuliko huu wa miti na pia unatumika kidogo kulinganisha na huu wa mitya kawaida, kwa mahitaji unaweza nipigia 0712756342.
tupo dar, ila naweza kutoa sample pia.
kwa gunia n tsh 37000 .... TUTUNZE MAZINGIRA TUOKOE MISITU....
67562f08-debc-4416-8022-5e1a62eef73b.jpg
0cdac05e-e335-4662-9423-fd93baa77bc9.jpg
e3b71be2-c220-41bf-9120-bc814bdb9942.jpg
IMG_4123.JPG
 
habari wana JF
nina mkaa mbadala kwa ajiri ya matumizi ya viwandani, mashureni, na majumbani,
mkaa huu natengeteza na maranda na mfinyanzi ni mzuri sana unakaa mda mref kuliko huu wa miti na pia unatumika kidogo kulinganisha na huu wa mitya kawaida, kwa mahitaji unaweza nipigia 0712756342.
tupo dar, ila naweza kutoa sample pia.
kwa gunia n tsh 37000 .... TUTUNZE MAZINGIRA TUOKOE MISITU....View attachment 937297View attachment 937298View attachment 937299View attachment 937300
mimi nataka hiyo mashine
 
Tembelea wauza nyama choma na chipsi,utapata soko la uhakika
 
Ushaona Mvuvi anauza Ndoano au Wavu badala ya Samaki?
anajiongeza, mkaa 37000, mashine kuanzia laki 5, akiuza mashine mikoa yote ya Tanzania ni bora kuliko kuuza mkaa dar peke yake
 
anajiongeza, mkaa 37000, mashine kuanzia laki 5, akiuza mashine mikoa yote ya Tanzania ni bora kuliko kuuza mkaa dar peke yake
Pale kuna Motor ya Mchina na Bati la "SIDO" vimetumika,
Yaani yeye awe mchuuzi wa hivyo vitu? Maana sijaona ugunduzi wake pale tuseme atajipatia kipato.
 
Back
Top Bottom