Nauza kiwanja kwa Sh. 8,000,000/=

Nauza kiwanja kwa Sh. 8,000,000/=

ligimilo

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2012
Posts
301
Reaction score
75
Nauza kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 3081 kilichopo Block “F” eneo la Mwangaza Dodoma jirani na reli usawa wa Martin Luther School kwa bei ya Sh. 8,000,000/= (terms 33yrs). Eneo hili lipo umbali wa kilometa sita toka Dodoma mjini. Aidha barabara katika eneo hili zimeshachongwa hivyo kuwezesha uingiaji na utokaji kwa urahisi. (kwa mawasiliano nipigie kwenye namba 0784-715619 au 0754-548430 au 0719-676614)
 
Ninavyofahamu maeneo haya, hii bei ni rahisi sana kama kweli mtoa mada atakuwa mkweli. Mimi sina tu pesa kwasasa ila ningenunua
 
Ninavyofahamu maeneo haya, hii bei ni rahisi sana kama kweli mtoa mada atakuwa mkweli. Mimi sina tu pesa kwasasa ila ningenunua
Ni bei ya kawaida sana, sema kwasasa pesa imekuwa ngumu tu, ningekuendea hewani.
 
Back
Top Bottom