Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,943
- 15,678
We ushajipataWanaojitafuta fursa hiyo..!!
We ushajipataWanaojitafuta fursa hiyo..!!
Ipo siku utajisikia ninavojisikia... Yan unapata tabu kuuza kitu chako af anakuja mtu analeta fitnaHayo maeneo wazaramo kibao, ukikaa vibaya tu mijini mpaka mlangoni. Mm hata bure sichukui hiko kiwanja kule walahi
Wanajamii hawana hela hum weng wanaunga unga tu, ni wazur sana kwq ushaur lakini pia 2020s mtandao una vijana wengi wa vyuo na waliomaliza vyuo. So haya mambo hayana muitikio kabisa humKaza bro mimi chakwangu 20x20m nauza 2m hadi sasa olaaa
Bado, Ila vikindu mbali na eneo lake dogo..!!We ushajipata
😹😹😹 Mijini ya kizaramo inaanza kukunyoosha..!! Ila shem umenichekesha sana alooo.!! 🤣Hayo maeneo wazaramo kibao, ukikaa vibaya tu mijini mpaka mlangoni. Mm hata bure sichukui hiko kiwanja kule walahi
Hizo siyo hatua bali ni futi.
Hatua moja ni sawa na mita 1.
Mita moja ni sawa na futi 3.
Kwa hiyo futi 48 gawanya kwa 3 ni sawa na mita 16, na futi 54 gawa kwa 3 ni sawa na mita 18.
Kwa hiyo kiwanja kina ukubwa wa mita 16 kwa 18.
Kipo wapi mkuuKaza bro mimi chakwangu 20x20m nauza 2m hadi sasa olaaa
Na mita moja ni sawa na hatua moja ya mguu ulioshibaKiwanja chake ni mita 14 kwa mita 16
View attachment 3279309
Hiyo sio vikindu mana vikindu ni mji mkubwa hiyo ni Kazole kama unaenda Magodani huko MkambaBado, Ila vikindu mbali na eneo lake dogo..!!
Vipimo vya miguu havipo accurate sana, hatua zinatofautiana.Na mita moja ni sawa na hatua moja ya mguu ulioshiba
Unazidi kutokomea kusikojulikana 😹😹Hiyo sio vikindu mana vikindu ni mji mkubwa hiyo ni Kazole kama unaenda Magodani huko Mkamba
Hahaha Kwa nini mkuu mbona unakikandiaHayo maeneo wazaramo kibao, ukikaa vibaya tu mijini mpaka mlangoni. Mm hata bure sichukui hiko kiwanja kule walahi
Kwa watu wanaojitafuta panafaa ingawa makabila ya kule ni mtangirirere, ukila nchale ukikaa vibaya nchale, ukizubaa nchuchumui. Bora kama unajivuta kidogo kununua Mwasonga tuUnazidi kutokomea kusikojulikana 😹😹
Huko hapana kwakweli
Kutoka pale Vikindu kwemda huko nauli ni 700. Ni sawa na Mbagala kwenda Posta stesheni. Mm nilifikaga huko mwaka juzi kupatemblea nikazike kias flan cha pesa ila nikajitathmin nikaachana napo. Nyumba za chumba kimoja na sebule au chumba kimoja tu zipo kibao. Ila ni mji unaokua wa kas ya kimbungaHahaha Kwa nini mkuu mbona unakikandia
Tatzo unafananisha nauli ya daladala na bajajKutoka pale Vikindu kwemda huko nauli ni 700. Ni sawa na Mbagala kwenda Posta stesheni. Mm nilifikaga huko mwaka juzi kupatemblea nikazike kias flan cha pesa ila nikajitathmin nikaachana napo. Nyumba za chumba kimoja na sebule au chumba kimoja tu zipo kibao. Ila ni mji unaokua wa kas ya kimbunga