
SafAuto non- TRD
Mzee umesoma tangazo vizuri?Manual or Auto.. ni Spec ya TRD?
Hii ndiga kama vile nimekutana nayo hapa Moshi mida hii ya jion

HapanaMzee umesoma tangazo vizuri?
Hapo ndio tatizo lilipoHapana
Ipo Dar hio 😂😂😂Hii ndiga kama vile nimekutana nayo hapa Moshi mida hii ya jion
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Hapo.. ktk Trd ilikuw swal la msingi kwa kuwa hakupost picha Mwanzo.Hapo ndio tatizo lilipo
Hahahah nani huyo? Hio gari ni ya mdogo wangu hio bei ni yangu elekezi.