Changamoto2015
JF-Expert Member
- Oct 1, 2012
- 773
- 313
Wana JF ninauza GPS Magellan Explorist 100 ambayo hutumika na maofisa ardhi kujua coordinates za kiwanja katika hatua za mwanzo kabla upimaji mkubwa haujaanza. Hii husaidia kujua location na matumizi ya kiwanja kabla mnunuzi/mmiliki hajafanya maamuzi ya kutafuata team ya surveyors kuanza kazi ya upimaji.
Mara nyingi GPS hukodishwa kwa bei kati ya TSH 50,000 - TSH 100,000 kwa siku.
Bei yangu: Nauza TZS 150,000 tu ( laki moja na nusu tu bila punguzo lolote).
Hali ya GPS ni nzuri, maana tangu niinunue sikuitumia kabisa, japo manual yake sina .....lakini inaweza kupatikana kirahisi online.
Sehemu nilipo ni Dar es Salaam.
Ni pm au nitumie email kupitia: investa.tz@gmail.com tukubaliane jinsi gani utaipata.
Picha:
Mara nyingi GPS hukodishwa kwa bei kati ya TSH 50,000 - TSH 100,000 kwa siku.
Bei yangu: Nauza TZS 150,000 tu ( laki moja na nusu tu bila punguzo lolote).
Hali ya GPS ni nzuri, maana tangu niinunue sikuitumia kabisa, japo manual yake sina .....lakini inaweza kupatikana kirahisi online.
Sehemu nilipo ni Dar es Salaam.
Ni pm au nitumie email kupitia: investa.tz@gmail.com tukubaliane jinsi gani utaipata.
Picha: