Kahtan Ahmed
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 755
- 468
Jamani nauza gari yangu aina ya super custom maisha magumu imenishinda nauza mil 7 tu ipo fresh haina tatizo lolote natumia mpaka sasa! kwa maelezo zaido piga hata 0712212220
TVS KING
Ungetuwekea picha ingesaidia sana watu kufanya uamuzi. Pia ungeweka maelezo mengine kama aina ya nishati inayotumia, ukubwa wa engine, imetengenezwa mwaka gani, umeitumia kwa muda gani, n.k.Jamani nauza gari yangu aina ya super custom maisha magumu imenishinda nauza mil 7 tu ipo fresh haina tatizo lolote natumia mpaka sasa! kwa maelezo zaido piga hata 0712212220
wewe utakuwa dalali mana thread nyingine unapangisha magorofa manzesesio tatizo subiri nijipange niwawekee na picha na hayo maelezo!
<br />dalali hasemi maeneo ni wapi mana wenziwe watampiga bao ila mm ndio mwenyewe njooni mumuulize hata nani madalali wanapandisha sana bei za vitu ila nyie njooni kama nyumba sio ya kaka angu ni ya baba angu!
<br />Jamani nauza gari yangu aina ya super custom maisha magumu imenishinda nauza mil 7 tu ipo fresh haina tatizo lolote natumia mpaka sasa! kwa maelezo zaido piga hata 0712212220
<br />Wewe mkuu mbona unauza vitu vingi sana manzese, magari mashamba kigamboni kibaha ....... Unatupa mashaka au unataka kufa!