Nauza gari Range Rover Sport

Nauza gari Range Rover Sport

Swali zuri sana. Hata mie nilitaka kuuliza maana nina DH.... ya mwaka 2016
Amesema alikua anaendesha, anapaki,
Anaendesha, anapaki,
Muda alioendesha ndio miezi hiyo 11
 
haidaiwi trafik? vipi spea tair na jeki vipo? A/C inafanya kazi?
 
Engine ya Kawaida sana hiyo mkuu, 5.5km per litre
mimi nilikuwa na carina t.i inakunywa km 7-8 kwa lita.... nikaliuzia mbali sasa hv nataka kitafute vitz ya cc 1000 naskia zinakunywa kl 15-18 kwa lita
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom