Bei ya range rover sport

Bei ya range rover sport

mhalisi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
1,181
Reaction score
322
Naulizia bei ya gari aina ya range rover sport ya mwaka 2005 toka kuinunua nje mpaka kuingiza nchini
 
Naulizia bei ya gari aina ya range rover sport ya mwaka 2005 toka kuinunua nje mpaka kuingiza nchini
Mi nauza ya kwangu nimeinunua kwa malkia sijaitembelea sana hapa TZ kutokana na ulaji wa mafuta uliokithiri(twin turbo charge double carbulator)cc 4800ya mwaka 2006,black in colour kama upo interest nipm maana kwa sasa hivi hadi unaingiza nchin si chini ya 86m na hapo umechakachua sana kodi
 
Kama unamiliki kisima cha mafuta basi nunua range rover, lakini kama unategemea bei za EWURA tahadhari sana.

Hilo la 4800 cc kwa kilomita moja ni sawa na kilomita tatu za starlet au terios.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom