GUI1
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 4,362
- 5,606
Shingapi mkuu?Nnahitaj pesa, Kuna kitu cha muhim sana nahitaj kufanya kwa sasa
Shingapi mkuu?Nnahitaj pesa, Kuna kitu cha muhim sana nahitaj kufanya kwa sasa
Zaidi ya udini hakuna kitu anajua mkuu.
duuh ngoja niendel kubet
What?Ukifila million 7 unicheki boss
Naona hujaelewa dhumuni... Hapo unatangaza na kuuza mwenyewe.. Mimi sio dalali sorrySorry bro,
Sihitaji madalali.
Dada umerudi?Kama ya Manji.
Gari nzuri napenda muungurumo wake kama kundi la nyuki...
Unamuongelea yule ajuza au nani mkuu?Huyu ni Great thinker. Katika top 10 ya wachangiaji bora humkosi,,in-short tumejifunza mengi sana kutoka kwake..Mwenyezi Mungu aendelee kumpa afya njema na umri mrefu wa kuishi mama yetu!